WIZARA YA ELIMU YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI NA WATUMISHI KUHUSU MASUALA YA PROTOKALI
- ELIMU
- November 1, 2022
Na Barnabas Kisengi-Dodoma Shule ya Msingi Michese iliyopo Kata ya Mkonze Jijini Dodoma inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya Madarasa hali inayopelekea wanafunzi zaidi ya mia moja kusomea katika chumba kimoja ambapo ni hatari sana ukizingatia kumekuwa na ugonjwa wa covid 19 na wanafunzi wengine kukaa chini kwa ukosefu wa madawati shuleni hapo licha shule
READ MOREPicha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW Na Mwandishi Wetu, Iringa Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mwanaidi Ali khamis amewataka wanafunzi kujenga ujasiri na kutoa taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsi pale vinapojitokeza ili waweze kutimiza ndoto zao maishani. Naibu Waziri Mwananidi ameyasema hayo wakati waliposhiriki
READ MOREKatika kutekeleza maagizo ya serikali ya Lishe endelevu kwa shule za msingi na secondary yaliyotolewa na waziri mkuu kukabiliana udumavu na utapiamlo kwa wanafunzi na watoto wilayani kongwa katika Kata ya chamkoroma wamefanikiwa kutekeleza maagizo hayo ya serikali kwa kuanzisha kilimo cha bustani za mbogamboga katika shule zote 7 za msingi na secondary moja. Akiongea
READ MORENa Scolastica Msewa, Dar es Salaam Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia nchini Profesa Joyce Ndalichako amezindua kampeni ya utoaji madawati 1000 kila mwaka kwa shule za msingi nchini kutoka Bank ya stanbic ikiwa ni mkakati wa serikali kukabiliana na upungufu wa madawati nchini. Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar na kuhusisha wadau mbalimbali wa sekta
READ MORE