• Dar Yaendelea Kuwa Tishio UMITASHUMTA Mkoani Mtwara

    Dar Yaendelea Kuwa Tishio UMITASHUMTA Mkoani Mtwara0

    IKIWA leo ni Siku ya Nne tangu kufunguliwa kwa mashindano ya UMITASHUMTA na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) ufunguzi uliofanyika kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara, timu ya Mkoa wa Dar es Salaam imeendelea kuwa tishio kwenye mashindano hayo kwa kupata ushindi Mkubwa katika michezo mbalimbali

    READ MORE
  • MAJALIWA AWAAGIZA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI KUFUFUA MADARASA YA MEMKWA

    MAJALIWA AWAAGIZA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI KUFUFUA MADARASA YA MEMKWA0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanafufua madarasa kwa ajili ya Mpango wa Elimu ya Msingi kwa walioikosa (MEMKWA) ili kusaidia kupunguza ongezeko la watu wazima wasiojua kusoma na kuandika. Ametoa agizo hilo leo (Jumatano Juni 9, 2021) wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kuadhimisha Miaka 50 ya

    READ MORE
  • SOMO LA ELIMU KWA MICHEZO LIFUNDISHWE KWA WANAFUNZI WOTE.

    SOMO LA ELIMU KWA MICHEZO LIFUNDISHWE KWA WANAFUNZI WOTE.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza ufundishaji  wa somo la Elimu kwa Michezo ufanyike kwa wanafunzi wote katika Shule za Msingi na kuhamasisha wanafunzi wa shule za Sekondari kusoma somo hilo.  Amesema kuwa hatua hiyo itawasaidia watoto kujenga moyo wa kujiamini, kuwa ubunifu, kuongeza mshikamano na umoja wa kitaifa  pamoja na kuimarisha afya ya taifa.  Ametoa

    READ MORE
Translate »