WIZARA YA ELIMU YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI NA WATUMISHI KUHUSU MASUALA YA PROTOKALI
- ELIMU
- November 1, 2022
PICHA NO.903 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kutoa ushirikiano juu ya utekelezaji wa mradi wa kuwarejesha skuli watoto waliofikia umri ili kuwawezesha kupata elemu bora itakayosaidia kuwajengea mustkbali wa maisha yao ya baadae. Rais Dk. Mwinyi alieleza hayo katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Ikiwa leo Juni 16,2021 bara la Afrika likiadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika,Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Mwalimu Josephat Maganga amesema suala la mtoto kutokwenda shule ni uzembe wa mzazi pamoja na mlezi ,hivyo amehimiza walezi ,wazazi ,kamati za shule pamoja na jamii kwa ujumla kulipa kipaumbele suala la elimu ili mtoto aweze
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wananchi wa Zanzibar kutumia vyema fursa ya kuwepo Skuli ya ‘Turkish Maarif Zanzibar’ kwa kuwapeleka watoto wao ili kupata elimu. Dk. Mwinyi ametoa wito huo leo katika Ufunguzi na Mahafali ya Kwanza ya Kidato cha Sita ya Skuli ya ‘Turkish Maarif
READ MOREIKIWA leo ni Siku ya Nne tangu kufunguliwa kwa mashindano ya UMITASHUMTA na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) ufunguzi uliofanyika kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara, timu ya Mkoa wa Dar es Salaam imeendelea kuwa tishio kwenye mashindano hayo kwa kupata ushindi Mkubwa katika michezo mbalimbali
READ MOREWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanafufua madarasa kwa ajili ya Mpango wa Elimu ya Msingi kwa walioikosa (MEMKWA) ili kusaidia kupunguza ongezeko la watu wazima wasiojua kusoma na kuandika. Ametoa agizo hilo leo (Jumatano Juni 9, 2021) wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kuadhimisha Miaka 50 ya
READ MOREWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza ufundishaji wa somo la Elimu kwa Michezo ufanyike kwa wanafunzi wote katika Shule za Msingi na kuhamasisha wanafunzi wa shule za Sekondari kusoma somo hilo. Amesema kuwa hatua hiyo itawasaidia watoto kujenga moyo wa kujiamini, kuwa ubunifu, kuongeza mshikamano na umoja wa kitaifa pamoja na kuimarisha afya ya taifa. Ametoa
READ MORE