- Bungeni, Habari, Kitaifa
- September 28, 2021
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mhe.William Ole Nasha amefariki dunia nyumbani kwake Jijini Dodoma.Taarifa zaidi tutawajuza wasomaji wetu kuhusu chanzo Cha kifo Cha Mhe Ole Nasha.
READ MORE- Bungeni, Habari, Kitaifa
- September 11, 2021
Mheshimiwa Spika, leo hii tunafikia tamati ya Mkutano wa Nne wa Bunge la 12 laJamhuri ya Muungano wa Tanzania ulioanza kikao chake cha kwanza tarehe 31 Agosti, Hivyo, hatunabudi kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwakutuwezesha kuhitimisha shughuli zote zilizopangwa kwenye mkutano huu tukiwa buheriwa afya. Mheshimiwa Spika, vilevile, ninakushukuru wewe binafsi kwa kumudu kuliongozavema
READ MORE- Bungeni, Kitaifa
- September 10, 2021
* Yatanunuliwa kuanzia Jumatatu Septemba 13, 2021 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa sh. bilioni 50 ambazo zitatumika kununua mahindi kutoka kwa wakulima ili kuwanusuru na kudodora kwa bei ya zao hilo. Ametoa kauli hiyo leo (Ijumaa, Septemba 10, 2021) Bungeni wakati akiahirisha mkutano wa nne wa Bunge la 12,
READ MORE