• WAZIRI UMMY: SIMAMIENI MAADILI YA WANATAALUMA YA AFYA

    WAZIRI UMMY: SIMAMIENI MAADILI YA WANATAALUMA YA AFYA0

    • Afya
    • January 17, 2023

    Na Mwandishi Wetu Dodoma Wenyevyiti na Wasajili wa Mabaraza na Bodi za Kitaaluma nchini wametakiwa kusimamia maadili ya wanataaluma ili kulinda jamii na huduma zinazotolewa kwa wananchi. Kauli hiyo imesemwa  na Waziri wa Afya,  Ummy Mwalimu wakati wa kikao cha pamoja na Wenyeviti wa Mabaraza ya kitaaluma na Bodi za ujasili zilizo chini ya Wizara

    READ MORE
  • WATAALAM WA AFYA WATAKIWA KUWA NA MIKAKATI YA PAMOJA , KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO

    WATAALAM WA AFYA WATAKIWA KUWA NA MIKAKATI YA PAMOJA , KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO0

    • Afya
    • January 16, 2023

    –  Na.Faustine Gimu,Elimu ya Afya Kwa Umma,Kilimanjaro. Rai imetolewa kwa Wataalam wa Afya  hapa nchini kuwa na mikakati ya pamoja itakayorahisisha kupunguza vifo vya mama na mtoto ,kwani katika takwimu  za kitaifa zinaonesha kuwa kulikuwa na vifo vya akina mama vitokanavyo na uzazi kwa mwaka 2020 vilikuwa 1,640 na mwaka 2021 vilikuwa 1,588.  Rai hiyo imetolewa

    READ MORE
  • WATALAAM WA AFYA WATOA ELIMU KWA UMMA UMUHIMU WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    WATALAAM WA AFYA WATOA ELIMU KWA UMMA UMUHIMU WA BIMA YA AFYA KWA WOTE0

    • Afya
    • January 16, 2023

    Na Mwandishi Wetu Dar es salaam Timu ya Wataalam wa  Mawasiliano na Uhusiano wa Taasisi zilizoko chini ya Wizara ya Afya mkoa wa Dar es salaam leo wametoa elimu kwa umma juu ya umuhimu wa Bima ya Afya kwa wote kwa wajumbe wa kamati ya Afya ya Mkoa Dar es Salaam (RHMT). Wajumbe wa kamati

    READ MORE
Translate »