• Tanzania kupokea Shehena ya Pili ya chanjo ya UVIKO 19 aina ya SINOPHARM

    Tanzania kupokea Shehena ya Pili ya chanjo ya UVIKO 19 aina ya SINOPHARM0

    Serikali ya Tanzania inatarajia kupokea Shehena ya pili ya chanjo ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19) aina ya Sinopharm itakayowasili nchini Oktoba 8 mwaka huu, na kufanya idadi ya chanjo hiyo kuongezeka na kufikia 1, 065,00 ambapo shehena ya kwanza ya chanjo kama hiyo ilipokelewa Oktoba 4 mwaka huu. Ujio wa chanjo hiyo

    READ MORE
  • WAZIRI GWAJIMA ASEMA MATUMIZI SAHIHI YA TAKWIMU BADO CHANGAMOTO SEKTA YA AFYA

    WAZIRI GWAJIMA ASEMA MATUMIZI SAHIHI YA TAKWIMU BADO CHANGAMOTO SEKTA YA AFYA0

    Na Barnabas Kisengi,Dodoma  Waziri wa Afya Mendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto DKt  Dorothy Gwajima amesema kuwa matumizi ya takwimu zenye ubora katika ngazi za chini ili kuweza kufanya maamuzi ya kisayansi bado ni changamoto katika halmashauri nchini jambo ambalo linarudisha nyuma Sekta ya Afya. Akizungumza  kwenye madhimisho ya siku ya Epidemiology Duniani  leo jijini Dooma katika

    READ MORE
  • TAMKO LA WAZIRI DKT. GWAJIMA KUELEKEA SIKU YA KIMATAIFA YA WAZEE OKTOBA MOSI 2021

    TAMKO LA WAZIRI DKT. GWAJIMA KUELEKEA SIKU YA KIMATAIFA YA WAZEE OKTOBA MOSI 20210

    Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW Na Mwandishi Wetu Manyoni Serikali imesema ipo katika hatua za mwisho za Mapitio ya Sera ya Taifa ya Wazee ya mwaka 2003 kwa kushirikiana na wadau na imeendelea kutekeleza afua mbalimbali zinazolenga  kutatua changamoto zinazowakabili Wazee. Hayo yamesemwa Wilayani Manyoni Mkoani Singida na Waziri wa Afya, Maendeleo

    READ MORE
Translate »