• UONGOZI WA JIJI LA DODOMA WATAKIWA  KUHIMIZA UPANDAJI MITI

    UONGOZI WA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUHIMIZA UPANDAJI MITI0

    NAIBU Waziri wa Afya, Dokta Godwin Mollel amelitaka Jiji la Dodoma kuweka mkazo katika kuhamasisha wananchi kupanda miti badala ya kutoa maelekezo ya upakaji wa rangi kwenye mabati peke yake   huku akiwataka wananchi kuzingatia suala la usafi katika maeneo yao ili kuondokana na magonjwa ya kuambukiza yanayopelekea kutumia gharama kubwa kwa matibabu. NA FAUSTINE GIMU

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU: UNAHITAJIKA UMAKINI MKUBWA KUIGAWA TANESCO

    WAZIRI MKUU: UNAHITAJIKA UMAKINI MKUBWA KUIGAWA TANESCO0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema unahitajika umakini mkubwa sana kama itaonekana kuna haja ya kuligawa Shirika la Umeme nchini (TANESCO). “Shirika letu la umeme nchini linafanya kazi kubwa. Linazalisha, linasafirisha na linagawa umeme kwenye maeneo mbalimbali nchini. Unapotaka kufanya jukumu la aina hii inabidi tuangalie sana usalama wa Taifa letu.” “Inabidi tuangalie kwa makini hasa

    READ MORE
  • SERIKALI YAACHILIA HURU MAGAZETI MANNE

    SERIKALI YAACHILIA HURU MAGAZETI MANNE0

    SERIKALI imeyafungulia rasmi magazeti ya Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima yaliyokuwa yamefungiwa kwa muda mrefu yamefunguliwa rasmi leo Februari 10, 2022.Uamuzi huo umetangazwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari na kutoa leseni ya magazeti hayo.“Agizo la Rais ni Sheria, Leo hii

    READ MORE
  • Wakazi wa Buza Kanisani walalamikia Uchafuzi wa Mazingira wa Sauti

    Wakazi wa Buza Kanisani walalamikia Uchafuzi wa Mazingira wa Sauti0

    Na Mwandishi Wetu Wakazi wa Buza Kanisani, Mtaa wa Amani, wamelamikia mfanyanya biashara kwa kujenga ukumbi wa sherehe katika eneo la makazi (residentional) , jambo linalosabisha uchafuzi mkubwa wa mazingira kwa njia ya sauti kutokana kelele zinatoka katika ukumbi huo. Wanamshutumu mfanyabiashara huyo Bw. Shayo kwa kuvunja sheria za matumizi ya ardhi kwa ukumbi wa

    READ MORE
  • WATENDAJI WA MTAKUWWA WATAKIWA KUBADILIKA

    WATENDAJI WA MTAKUWWA WATAKIWA KUBADILIKA0

    Na WMJJWM, DodomaKatibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula amewataka watendaji wa Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na watoto (MTAKUWWA) kubadilika na kufanya kazi kwa matokeo.Dkt. Chaula ameyasema hayo jijini Dodoma wakati akifungua kikao cha Kamati tendaji inayojumuisha Idara na Wizara zinazotekeleza

    READ MORE
  • WAZIRI DKT GWAJIMA ATAKA MADAWATI YA KIJINSIA KATIKA VYUO VYA MANDELEO YA JAMII

    WAZIRI DKT GWAJIMA ATAKA MADAWATI YA KIJINSIA KATIKA VYUO VYA MANDELEO YA JAMII0

    . Na WMJJWM- Mara Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa siku thelathini kwa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini kuunda Madawati ya Kijinsia katika vyuo vyao. Dkt. Gwajima, ameyasema hayo wakati wa ziara yake kwenye Chuo cha Maendeleo ya Jamii cha Buhare kilichopo Mkoani Mara, ambacho ni

    READ MORE
Translate »