• WAZIRI MKUU AWAAGA VIONGOZI WA DINI, UZINDUZI WA ROUTE YA SGR DAR – DODOMA

    WAZIRI MKUU AWAAGA VIONGOZI WA DINI, UZINDUZI WA ROUTE YA SGR DAR – DODOMA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaaga viongozi wa dini 104 ambao wanaelekea Dodoma kwa treni ya mwendokasi (SGR) kwenda kushiriki ibada maalum ya kuliombea Taifa inayotarajiwa kufanyika kesho, Jumatatu,  Aprili 22, 2024. Treni hiyo imeondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 8.53 mchana ikiwa na viongozi hao, waandishi wa habari, waimbaji wa nyimbo za injili na

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AMEFUNGA MKUTANO WA SADCOPAC.

    WAZIRI MKUU AMEFUNGA MKUTANO WA SADCOPAC.0

    Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Abeid Aman Karume Zanzibar ambako atafunga  Mkutano wa Kujenga Uelewa wa Pamoja na Ufanyaji wa Kazi wa Taasisi za Ukaguzi na Mabunge (SADCOPAC) kwenye hoteli ya Goilden Tulip, Aprili 18, 2024 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano wa Kujenga Uelewa wa PamojaREAD MORE
  • WANAWAKE WANAZIDI KUNG’ARA KATIKA UONGOZI.

    WANAWAKE WANAZIDI KUNG’ARA KATIKA UONGOZI.0

    Wanawake nchini wameendelea kupata fursa za uongozi katika ngazi mbalimbali huku takwimu zikionesha ongezeko la Wanawake katika uongozi ikiwemo Mawaziri Wanawake kutoka asilimia 15 kwa mwaka 2005 hadi asilimia 37 kwa mwaka 2023. Aidha, Wabunge wanawake wameongezeka kutoka asilimia 22 hadi kufikia asilimia 37 kwa mwaka 2023. Hayo yamebainika wakati wa uzinduzi wa mradi wa

    READ MORE
Translate »