Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye Bandari ya Dar es Salaam kwa ajili ya Makabidhiano na Uzinduzi wa Boti ya Doria ya kukabiliana na Vitendo vya kihalifu katika Bahari na Maziwa Makuu Waziri Mkuu. Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Boti ya Doria wakati wa Hafla ya Makabidhiano na Uzinduzi wa