• DINI INA MCHANGO MKUBWA WA KUJENGA MAADILI KWENYE TAIFA.

    DINI INA MCHANGO MKUBWA WA KUJENGA MAADILI KWENYE TAIFA.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua msikiti wa ‘Masjid Ali Bin Saif’ kabla ya kuuzindua, msikiti ambao umejengwa na familia ya Sheikh Seif Ali Seif, maeneo ya Vingunguti jijini Dar es Salaam Aprili 14, 2023. Sheikh Nassor na Sheikh Seif wamejenga msikiti huo wenye hadhi kubwa kwa niaba ya Baba yao ambaye ameshatangulia mbele ya haki. – Advertisement – Waziri Mkuu

    READ MORE
  • RAIS DK.MWINYI AMEKUTANA NA BALOZI WA UBELGIJI

    RAIS DK.MWINYI AMEKUTANA NA BALOZI WA UBELGIJI0

    Zanzibar,06 Aprili, 2023SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imejikiza zaidi kwenyeteknolojia ya kisasa ili kuboresha sekta ya utalii kwa kuimarishamiundominu ya kisasa ya utoaji huduma bora kupitia viwanja vya ndege vyaZanzibar ili kuwavutia watalii wengi zaidi kutoka mataifa mbambali ya duniawanaoitembelea Zanzibar ili wakirudi kwao wawe mabalozi wazuriwakusimulia mazuri yanayopatikana kwenye visiwa vya Unguja na

    READ MORE
  • Serikali inaunga mkono jitihada za sekta binafsi za kukuza maendeleo.

    Serikali inaunga mkono jitihada za sekta binafsi za kukuza maendeleo.0

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuunga mkono jitihada zinazochukuliwa na sekta binafsi katika kuwaunganisha na kuwaletea maendeleo wazanzibari.Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Sera,Uratibu na Baraza la Wawakilishi Mhe Hamza Hassan Juma kwa niaba ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla katika hafla ya 

    READ MORE
  • Habari picha mchezo kati ya Fountain Gate  2-0 Scan AID ya Gambia Afrika Kusini.

    Habari picha mchezo kati ya Fountain Gate 2-0 Scan AID ya Gambia Afrika Kusini.0

    Matukio mbalimbali ya mchezo kati ya Fountain Gate 2-0 Scan AID ya Gambia, mashindano ya Shule Afrika (African Schools Championship) yaliyoanza jana Durban, Afrika Kusini

    READ MORE
  • Kikosi cha Timu ya Wanawake kitakachokwenda Algeria.

    Kikosi cha Timu ya Wanawake kitakachokwenda Algeria.0

    READ MORE
  • Hotuma ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa 2023/2024.

    Hotuma ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa 2023/2024.0

    UTANGULIZI 1.  Mheshimiwa Spika,  naomba  kutoa  hoja  kwamba  kutokana  na  taarifa  Bunge  za  Utawala,  Katiba  na  Sheria;  Afya  na  Masuala  ya  UKIMWI;  Ustawi  na  Maendeleo ya Jamii; na Bajeti zilizochambua Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Mfuko  wa  Bunge,  sasa  naliomba  Bunge  lako  lipokee  na  kujadili  Taarifa  ya  Mapitio  ya Utekelezaji wa Kazi za Serikali kwa mwaka 2022/2023 na Mwelekeo wa Kazi zake kwa  mwaka 2023/2024. Aidha, naomba Bunge lako Tukufu likubali kupitisha makadirio ya  mapato na matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake pamoja  na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2023/2024.  2.  Mheshimiwa Spika,awali ya yote, ninamshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi  kujadili Taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Kazi za Serikali kwa Mwaka 2022/2023 na  mwelekeo wake kwa mwaka 2023/2024 tukiwa wenye afya njema.  3.  Mheshimiwa Spika, itakumbukwa kuwa huu ni Mkutano wa 11 wa Bunge la  wenzangu,  tuitumie  vyema  fursa  hii  kutoa  maoni  na  ushauri  ili  kuisaidia  Serikali  kuimarisha utekelezaji wa vipaumbele vilivyoainishwa kwenye Mpango na Bajeti ya  Mwaka 2023/2024. Napenda kuwahakikishia kuwa Serikali itapokea maoni na ushauri  wenu na kuyafanyia kazi kwa maslahi mapana ya wananchi.  Salamu za Pole   4.  Mheshimiwa Spika, nchi yetu kwa nyakati tofauti imekumbwa na maafana  uharibifu  wa  mali  na  mazingira.  Nitumie  fursa  hii  kuwapa  pole  Watanzania  wote  waliopoteza ndugu, jamaa na mali zao katika maafa. Aidha, ninamwomba Mwenyezi  Mungu awajalie majeruhi wote uponyaji wa haraka na aendelee kuwapumzisha kwa  amani wale waliopoteza maisha.    Salamu za Pongezi  5.  Mheshimiwa Spika, nitumie fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Samia  vyema na kupata maendeleo na mafanikio makubwa katika kipindi kifupi cha miaka  miwili ya uongozi wake. Mafanikio hayo ni pamoja na uboreshaji wa miundombinu na  huduma za afya, maji, elimu, umeme na uchukuzi, kuboresha hali ya chakula na lishe  na kuimarisha hali ya kisiasa nchini na mahusiano ya kimataifa.   6.  Mheshimiwa Spika,  napenda  pia  kuwapongeza  Mheshimiwa  Dkt.  Philip  Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  1  kutokana na uongozi wao makini na jitihada zao katika kuhakikisha Taifa letu linapata  maendeleo.  7.  Mheshimiwa Spika, hivi karibuni, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,  watendaji wakuu wa taasisi na viongozi wa Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za  Mitaa. Mabadiliko hayo, yamelenga kuimarisha utendaji kazi Serikalini ikiwa ni pamoja  na utoaji huduma bora na kushughulikia kero mbalimbali za wananchi.   8.  Mheshimiwa  Spika,   ninawapongeza  viongozi  na  watendaji  wote  niwapongeze Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama Mbunge wa Peramiho na Waziri wa  Nchi  Ofisi  ya  Waziri  Mkuu  Sera,  Bunge  na  Uratibu;  Mheshimiwa  George  Boniface  Simbachawene Mbunge wa Kibakwe na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora; na Mheshimiwa Abdallah Hamis Ulega Mbunge wa 

    READ MORE
Translate »