• RAIS MWINYI AMEFUNGA MAFUNZO YA POLISI SAJIN (SGT)MTERA MOROGORO

    RAIS MWINYI AMEFUNGA MAFUNZO YA POLISI SAJIN (SGT)MTERA MOROGORO0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi kwa niaba ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 16 Oktoba, 2021 amewatunuku vyeti na kuwapandisha vyeo Askari wahitimu mia saba kumi na sita (716) wa

    READ MORE
  • ZIARA YA MAKATIBU WAKUU KASULU MKOANI KIGOMA

    ZIARA YA MAKATIBU WAKUU KASULU MKOANI KIGOMA0

    Na Mwandishi wetu, Kasulu Watanzania wamemeadharishwa dhidi ya madhara ya yanayoweza kutokana na tabia ya kufumbia macho vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto na wasitegemee msaada zaidi kutoka nyumba salama kwa ajili ya  kuwarejesha wahanga wa ukatili katika hali ya awali. Taadhari hiyo imetolewa na Katibu Mkuu, Wizara ya Afya Idara Kuu

    READ MORE
  • WAZIRI NDUMBARO ATOA  WITO KWA WATOA HUDUMA ZA WATALII NCHINI KUWA MSTARI WA MBELE KUCHANJA ILI KUJIKINGA NA UVIKO 19

    WAZIRI NDUMBARO ATOA WITO KWA WATOA HUDUMA ZA WATALII NCHINI KUWA MSTARI WA MBELE KUCHANJA ILI KUJIKINGA NA UVIKO 190

    Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro ametoa wito kwa Watoa huduma za Watalii kuwa mstari wa mbele kuchanja ili kujikinga na kuwakinga wengine dhidi ya  UVIKO 19Pia,Dkt.Ndumbaro amesema kitendo cha  Watoa huduma wengi  katika sekta ya utalii kuchanja ni jambo la  muhimu  kwani watalii wanaokuja nchini wanapata ujasiri  kuwa nchi wanayotembelea ni salama na

    READ MORE
Translate »