Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, Mhe. Mwanaidi Ali Khamis amewataka wanafunzi katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Rungemba kubuni miradi mbalimbali kutokana na mazingira yanayowazunguka ili kujinufaisha na jamii zao. Naibu Waziri Mwanaidi amesema hayo katika Ziara yake Chuoni hapo ya kukukagua
READ MOREKuna siku nilipeleka koti langu la suti kwa fundi cherehani anirekebishie mfuko ulikuwa umefumuka.Mara jamaa akageuza koti kwa ndani na kisha akaanza kulifumua fumua badala ya kuushona mfuko wenyewe!!!Nikahamaki nikamwambia, “Mzee unapaswa kushona, sio kufumua halafu nina haraka ujue. Mbona ni kazi rahisi tu ya faster.” Lakini yeye alijibu tu, “NAJUA”. Hilo jibu lilinigusa na sikuweza
READ MORE