- READ MORE
- Habari, Kimataifa
- April 19, 2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amezipongeza juhudi zinazochukuliwa na Ubalozi wa India nchini Tanzania kwa kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa miradi mikubwa ya maji safi na salama. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo katika mazungumzo kati yake na Balozi wa India
READ MORE- Habari, Kimataifa
- April 19, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza kabla ya uzinduzi wa filamu ya Tanzania The Royal Tour katika ukumbi wa Guggenheim Museum, New York nchini Marekani. FILAMU ya The Royal Tour imezinduliwa katika ukumbi wa Guggenheim Museum Jijini New York nchini Marekani kwa mara ya kwanza usiku wa kuamkia leo ambapo
READ MORE