• RAIS DKT. MWINYI AAGIZA MAMLAKA KUREKEBISHA SHERIA KANDAMIZI KWA WAJANE

    RAIS DKT. MWINYI AAGIZA MAMLAKA KUREKEBISHA SHERIA KANDAMIZI KWA WAJANE0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza haja ya kurekebishwa Sheria kandamizi ambazo zimekuwa zikiwakosesha haki zao za msingi wanawake wajane hapa Zanzibar. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo wakati alipokutana na kufanya  mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya Wanawake Wajane Zanzibar (ZAWIO), walipofika Ikulu Jijini Zanzibar. Rais

    READ MORE
  • SERIKALI YA ZANZIBAR IMEBANIA KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI

    SERIKALI YA ZANZIBAR IMEBANIA KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI0

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, imedhamiria kuzitatua changamoto zote zinazowakabili wananchi katika kila nyanja, ili lile lengo lililokusudiwa na Serikali ya Awamu ya nane liweze kufikiwa. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla,  ameyasema hayo alipokutana na uongozi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Ofisini kwake Vuga,  kwa ajili ya kujadiliana

    READ MORE
  • RADI YAUA MWANAFUNZI DARASANI, MWALIMU ANUSURIKA KIFO

    RADI YAUA MWANAFUNZI DARASANI, MWALIMU ANUSURIKA KIFO0

    NA NYEMO MALECELA – KAGERA Mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Kabugaro iliyoko wilaya ya Bukoba, Gisera Osward amefariki dunia baada ya kupigwa radi wakati mwalimu waliyekuwa wameongozana wakitoka darasani, Charles Alphonce akijeruhiwa miguu na kulazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera ya Bukoba. Mwalimu Charles amesema mkasa huo

    READ MORE
Translate »