WIZARA YA ELIMU YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI NA WATUMISHI KUHUSU MASUALA YA PROTOKALI
- ELIMU
- November 1, 2022
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kutoa fedha kwa ajili ya kuimarisha miundombinu mbalimbali ya elimu kuanzia ngazi ya awali hadi elimu ya juu. Mheshimiwa Majaliwa ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa watumishi wa umma na wakazi wa mkoa wa Lindi watumie
READ MOREWAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Profesa Joyce Ndalichako amewaagiza watendaji wa Wizara na taasisi zitakazotekeleza miradi ya fedha za mpango wa maendeleo kwa ustawi wa taifa na mapambano dhidi ya uvico 19, hadi kufikia Octoba 30, 2021 wawe wamekamilisha mpango na maandalizi ya utelelezaji wa miradi hiyo. Hayo yamebainishwa leo jijini DODOMA na
READ MOREBodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo Oktoba 17, 2021 orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 37,731 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya Tsh.Bilioni 99.9 kwa mwaka wa masomo 2021/2022 unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru ambapo amesema kuwa
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imedhamiria kujenga vyuo vya Ufundi Stadi (VETA) katika kila halmashauri nchini. Amesema kuwa lengo la ujenzi wa vyuo hivyo ni kuhakikisha vinatoa elimu ya ujuzi maalum kwa vijana wa Kitanzania katika maeneo mbalimbali ikiwemo utaalam wa TEHAMA,
READ MORENA PENDO MANGALA,DODOMA. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Ummy Mwalimu ametoa onyo kwa badhi ya walimu wa kike na kiume ambao wanaojihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi kwani wakibainika watachukuliwa hatua kali za kisheria. Waziri Ummy ametoa kauli hiyo leo Jijini Dodoma wakati akifungua mkutano wa
READ MORENa Barnabas Kisengi, Mpwapwa Jumla ya wanafunzi 6552 wa shule za msingi wilayani Mpwapwa wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu darasa la Saba inayotarajiwa kufanyika kesho hapa nchini Akizungumza na jfivetv.com Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mwanahamisi Ally amesema maandalizi yote yamekamilika vizuri na jumla ya shule 129 zilizopo wilayani mpwapwa zinatarajiwa kufanya
READ MORE