• JUMLA YA WANAFUNZI 6552 KUFANYA MTIHANI WA KUHITIMU DARASA LA SABA KESHO WILAYANI MPWAPWA

    JUMLA YA WANAFUNZI 6552 KUFANYA MTIHANI WA KUHITIMU DARASA LA SABA KESHO WILAYANI MPWAPWA0

    Na Barnabas Kisengi, Mpwapwa  Jumla ya wanafunzi 6552 wa shule za msingi wilayani Mpwapwa wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu darasa la Saba inayotarajiwa kufanyika kesho hapa nchini  Akizungumza na jfivetv.com Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mwanahamisi Ally amesema maandalizi yote yamekamilika vizuri na jumla ya shule 129 zilizopo wilayani mpwapwa zinatarajiwa kufanya

    READ MORE
  • HALMASHAURI YA MPWAPWA YATENGA MILIONI 100 KUTATUA CHANGAMOTO SEKTA YA ELIMU

    HALMASHAURI YA MPWAPWA YATENGA MILIONI 100 KUTATUA CHANGAMOTO SEKTA YA ELIMU0

    Na Barnabas Kisengi-Mpwapwa  Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa imetenga kiasi cha fedha shilingi milioni 100 kutoka kwenye makusanyo ya mapato ya ndani na kuzielekeza fedha hizo kwenda kutatua changamoto katika sekta ya elimu wilayani hapo.  Kauli imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halimashauri ya Mpwapwa Bi Mwanahamisi Ally wakati akizungumzia vipaombele vya kazi za miradi ya maendeleo

    READ MORE
  • MAJALIWA: RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUTOA FURSA KWA WANAFUNZI KUTIMIZA NDOTO ZAO

    MAJALIWA: RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUTOA FURSA KWA WANAFUNZI KUTIMIZA NDOTO ZAO0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikari inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuhakikiisha sekta ya elimu inapata muelekeo mpana na kutengeneza fursa kwa watoto wa kitanzania kutimiza ndoto zao za kusoma katika ngazi zote mpaka vyuo vikuu. Amesema kuwa katika kufanikisha hilo Serikali imeendelea kuboresha miundombinu kwa shule za msingi, Sekondari pamoja na kuongeza

    READ MORE
Translate »