• NAIBU WAZIRI KIPANGA AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA DIT-MWANZA

    NAIBU WAZIRI KIPANGA AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA DIT-MWANZA0

    Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Juma Kipanga (MB) leo tarehe 22 Julai, 2021 ametembelea Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) Kampasi ya Mwanza na kueleza kufurahishwa na maendeleo yaliyofikiwa, ikiwemo ujuzi wa wanafunzi kutengeneza bidhaa mbalimbali za ngozi. Miongoni mwa bidhaa alizoshuhudia katika Kampasi hiyo ni pamoja na viatu

    READ MORE
  • Naibu Waziri Gekul amuibua Mbaraka Mwinshekhe mahafali ya Malya

    Naibu Waziri Gekul amuibua Mbaraka Mwinshekhe mahafali ya Malya0

    Adeladius Makwega -Kwimba Mwanza (WHUSM) Serikali imesema kuwa Watanzania wanahitaji burudani ya muziki kwani mara baada ya kujishughulisha na shughuli za maendeleo mchana kutwa basi jioni ni muda wa kupumzisha miili na akili zao. Hayo yamesemwa Julai 17, 2021 katika mahafali ya 10 ya Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya ambapo Mheshimiwa Pauline Gekul Naibu

    READ MORE
  • KUFUATIA UPUNGUFU WA MADARASA, WANAFUNZI ZAIDI YA 100 WASOMEA DARASA MOJA.

    KUFUATIA UPUNGUFU WA MADARASA, WANAFUNZI ZAIDI YA 100 WASOMEA DARASA MOJA.0

    Na Barnabas Kisengi-Dodoma Shule ya Msingi Michese iliyopo Kata ya Mkonze Jijini Dodoma inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya Madarasa hali inayopelekea wanafunzi zaidi ya mia moja kusomea katika chumba kimoja ambapo ni hatari sana ukizingatia kumekuwa na ugonjwa wa covid 19 na wanafunzi wengine kukaa chini kwa ukosefu wa madawati shuleni hapo licha shule

    READ MORE
Translate »