RAIS DKT. MWINYI APONGEZA TAMASHA LA ZIFF KATIKA KUTANGAZA UTALII NA URITHI WA ZANZIBAR
- Sanaa na Burudani
- July 20, 2021
Na Barnabas Kisengi, Dodoma. Mashindono ya mchezo wa bao ya siku moja ya timu ya Dodoma na Arusha yamezindiliwa na kuchchezwa kwa kuongozwa na Naibu waziri wa kilimo ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde kuchuana na Mbunge wa Jimbo la Arusha MH MRISHO GAMBO Jijini Dodoma katika viwanja vya
READ MORENa Shamimu Nyaki – WUSM, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Saidi Yakubu amekutana na kufanya Mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini Mhe. Dkt. Mehmet Gulluoglu kuhusu kushirikiana katika Sekta ya Utamaduni nchini. Kikao hicho cha kupitia Mkataba wa Ushirikiano katika Sekta za Wizara kabla ya kuusaini kiilifanyika Mei 10, 2022
READ MOREMsanii wa filamu na mchekeshaji, Steve Mengele maarufu Steve Nyerere, leo Ijumaa Machi 25, 2022 ametangaza kujiuzulu nafasi ya usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania(SMT). Asema kuna mambo mengi yenye tija ambayo Taifa linapaswa kuyashughulikia badala ya kuendeleza sakata la kuteuliwa kwake.
READ MOREBARAZA la Sanaa Taifa (BASATA) limeingilia kati Mgogoro wa ndani la Shirikisho la Muziki na kusimamisha uteuzi wa awali wa Msemaji wa Shirikisho hilo Steven Mengere . Aidha Baraza limetoa uamuzi huo mara baada ya kufanya kikao Machi 23 na kuridhia kuwa Msemaji huyo kutoanza Majukumu yake Hadi pale sakata hilo litakapotatuliwa. Pia Baraza limejiridhisha
READ MOREWaziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa amewataka viongozi wa BASATA na COSOTA kuhakikisha wasanii wote wanasajiliwa hususani wale wakubwa ambao mpaka sasa hawajasajiliwa kwani hakuna msanii mkubwa kuliko Nchi. “Nitoe maelekezo kwa COSOTA na BASATA hatutegemei kusikia wasanii wamesajiliwa wachache, sitegemei kusikia msanii mkubwa hajasajiliwa, tutaanza kuhoji uwezo wa tuliowapa dhamana. “Jukumu letu
READ MORE