• STEVE NYERERE AJIUZULU USEMAJI SHIRIKISHO LA MUZIKI

    STEVE NYERERE AJIUZULU USEMAJI SHIRIKISHO LA MUZIKI0

    Msanii wa filamu na mchekeshaji, Steve Mengele maarufu Steve Nyerere, leo Ijumaa Machi 25, 2022 ametangaza kujiuzulu nafasi ya usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania(SMT). Asema kuna mambo mengi yenye tija ambayo Taifa linapaswa kuyashughulikia badala ya kuendeleza sakata la kuteuliwa kwake.

    READ MORE
  • BASATA YAMPIGA ‘STOP’ STEVE NYERERE

    BASATA YAMPIGA ‘STOP’ STEVE NYERERE0

    BARAZA la Sanaa Taifa (BASATA) limeingilia kati Mgogoro wa ndani la Shirikisho la Muziki na kusimamisha uteuzi wa awali wa Msemaji wa Shirikisho hilo Steven Mengere . Aidha Baraza limetoa uamuzi huo mara baada ya kufanya kikao Machi 23 na kuridhia kuwa Msemaji huyo kutoanza Majukumu yake Hadi pale sakata hilo litakapotatuliwa. Pia Baraza limejiridhisha

    READ MORE
  • MCHENGERWA: HAKUNA MSANII MKUBWA KULIKO NCHI

    MCHENGERWA: HAKUNA MSANII MKUBWA KULIKO NCHI0

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa amewataka viongozi wa BASATA na COSOTA kuhakikisha wasanii wote wanasajiliwa hususani wale wakubwa ambao mpaka sasa hawajasajiliwa kwani hakuna msanii mkubwa kuliko Nchi. “Nitoe maelekezo kwa COSOTA na BASATA hatutegemei kusikia wasanii wamesajiliwa wachache, sitegemei kusikia msanii mkubwa hajasajiliwa, tutaanza kuhoji uwezo wa tuliowapa dhamana. “Jukumu letu

    READ MORE
Translate »