WIZARA YA ELIMU YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI NA WATUMISHI KUHUSU MASUALA YA PROTOKALI
- ELIMU
- November 1, 2022
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu amewaagiza wakuu wa shule wote nchini kuhakikisha michango ambayo wazazi wanatakiwa kutoa kwa ajili ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha tano kutokuzidi shilingi 188,000 ikiwemo na ada ya shilingi 70,000. Akiongea na waalimu leo alipotembelea shule ya Sekondari ya
READ MORENteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe Uummy Mwalimu amesema kupitia ajira mpya za Walimu zilizotangazwa Tar 26.06.2021 hakuna shule yeyote itakayokuwa haina Mwalimu wa Physics wala Mathematics kwa kuwa wameajiriwa wa kutosha kupitia Ajira Mpya. Amesema Waalimu wa Physics walioajirwa ni 1,360 wakati shule ambazo hazikuwa na Mwalimu huyo ni 1,100 na Walimu
READ MOREWanafunzi 423 wa shule ya secondary pwaga wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma wanakaa chini kutokana na changamoto ya kutokuwepo na madawati ya kutosha shule hapo. Kutokana na jambo hilo la kutokuwa na madawati ya kutosha shuleni hapo Kumemsukuma Mh Diwani wa Kata ya pwaga Willefred Mgonela kutafuta ufumbunzi wa changamoto hiyo ya madawati kwa kukutana na
READ MORENa Barnabas kisengi -Dodoma SERIKALI imeagiza Bodi ya Baraza la Elimu Tanzania (TET) kuhakikisha inafuatilia maoni ya wadau kwa karibu ikiwemo kuyafanyia kazi ili yalete tija katika uboreshaji wa mitaala ya elimu ya awali,msingi na sekondari nchini ambayo itasaidia kuoa wahitimu wenye uwezo wa kujiajiri na kuajiriwa.Akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Wadau wa Elimu kuhusu
READ MOREKatibu mkuu wizara ya elimu sayansi na teknolojia Dkt Leonard Akwilapo amewaagiza wakuu wa vyuo vya maendeleo ya wananchi FDC kuhakikisha wanatoa kipaumbele katika kutekeleza mpango wa elimu haina mwisho wenye lengo la kuwaendeleza kielimu watoto wa kike ambao walikatisha masomo yao kwa sababu mbalimbali ikiwemo mimba za utotoni. Dkt Akwilapo ametoa maelekezo hayo wakati
READ MORE