• Serikali yatoa muongozo michango ya kujiunga na kidato cha tano

    Serikali yatoa muongozo michango ya kujiunga na kidato cha tano0

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu amewaagiza wakuu wa shule wote nchini kuhakikisha michango ambayo wazazi wanatakiwa kutoa kwa ajili ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha tano kutokuzidi shilingi 188,000 ikiwemo na ada ya shilingi 70,000. Akiongea na waalimu leo alipotembelea shule ya Sekondari ya

    READ MORE
  • Ajira Mpya zapunguza Tatizo la Walimu wa Physics na Mathematics

    Ajira Mpya zapunguza Tatizo la Walimu wa Physics na Mathematics0

    Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe Uummy Mwalimu amesema kupitia ajira mpya za Walimu zilizotangazwa Tar 26.06.2021 hakuna shule yeyote itakayokuwa haina Mwalimu wa Physics wala Mathematics kwa kuwa wameajiriwa wa kutosha kupitia Ajira Mpya. Amesema Waalimu wa Physics walioajirwa ni 1,360 wakati shule ambazo hazikuwa na Mwalimu huyo ni 1,100 na Walimu

    READ MORE
  • Wanafunzi 423 wa shule ya secondary pwaga wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma wanakaa chini.

    Wanafunzi 423 wa shule ya secondary pwaga wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma wanakaa chini.0

    Wanafunzi 423 wa shule ya secondary pwaga wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma wanakaa chini kutokana na changamoto ya kutokuwepo na madawati ya kutosha shule hapo. Kutokana na jambo hilo la kutokuwa na madawati  ya kutosha shuleni hapo Kumemsukuma Mh Diwani wa Kata ya pwaga Willefred Mgonela kutafuta ufumbunzi wa changamoto hiyo ya madawati kwa kukutana na

    READ MORE
Translate »