Na. WAF – DAR ES SALAAM Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Kituo cha Huduma za Upandikizaji Mimba Kairuki Green IVF, Bunju kitatatua changamoto ya Watanzania kwenda nje ya nchi kwa gharama kubwa kufata huduma hizo. Dkt. Mwinyi amebainisha hayo February 06 2023 Jijini Dar es Salaam
READ MORENa Mwandishi Wetu Mikese. CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimesisitiza moja ya mikakati ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na RAIS Dkt SAMIA SULUH HASSAN ni kuhakikisha huduma za afya hasa ya Mama na Mtoto inaendelea kuboreshwa ili Wananchi wapate huduma zilizo bora zinazoambatana na vifaa tiba vya kisasa. Kauli hiyo imetolewa na na Katibu wa
READ MORENa Barnabas Kisengi Mtwara. Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya nchini wamehumizwa kufanya usimamizi wa afya shirikishi (Cascade Supervision) kwa zahanati zinazowazunguka ili kuziongezea nguvu zahanati hizo katika kuboresha huduma za afya pamoja na kupunguza rufaa za wagonjwa katika ngazi vituo vya Afya na Hospitali za Halmashauri. Rai hiyo imetolewa Februari 3,
READ MORE