Na Moreen Rojas-Dodoma Mkurugenzi wa kampuni ya Cornwell Tanzania na Daktari wa Tiba Asili Daktari Elizabeth Lema amewahimiza watanzania kutumia dawa za asili na kuwashauri wananchi wanapotafuta tiba waanze kufikiri dawa za kitanzania. Dk.Elizabethi ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na mwandishi wa J five One line blog katika ukumbi wa Jakaya Convention Jijini Dodoma
READ MORENa. Catherine Sungura, Wizara ya Afya-Dodoma Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 kati ya 17 za awamu ya kwanza barani Afrika zitakazotekeleza mradi wa kuwajengea uwezo wa sekta ya afya kujiandaa, kugundua na kukabiliana na dharura na majanga. Wataalamu wa sekta ya mbalimbali wanaoshirikiana na sekta ya afya katika kukabiliana na dharura na majanga wameshiriki.
READ MORENa. Wellu Mtaki, Dodoma Daktari Bingwa ya magonjwa ya wanawake katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma Dr. Enid Chiwanga Amesema kuwa idadi ya wagonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi wanaofika kupata matibabu imepungua ikilinganishwa na miaka michache iliyopita. Ameyasema hayo leo November 14 2022 alipokuwa akifanya mahojiano maalum na Mwandishi wa hahari
READ MORESERIKALI kupitia Wizara ya Afya imetoa wito kwa Wajawazito kuhudhuria mapema kliniki ili kutoa muda wa kutosha kwa Wataalamu kufanya uchunguzi na ufuatiliaji ili kuepusha dharura za kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel katika kikao cha tisa cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
READ MORENa Wizara ya Afya Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema, Wizara ya Afya kwa kushirikiana na vyama vya kitaaluma inatekeleza Mkakati wa kuwajengea uwezo watumishi wa vituo vya huduma za Afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi hospitali za Taifa katika eneo la utoaji ganzi/nusu kaputi na upasuaji kwa usalama kwa kuzingatia miongozo.Dkt.
READ MORENa Wizara ya Afya Dodoma Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Ustawi wa jamii na lishe kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. James Kengia ametoa wito kwa wataalamu wa afya kwenda kuanzisha kliniki za magonjwa yasiyoambukiza katika vituo vyao vya kutolea huduma. Dkt. Kengia amesema hayo wakati akifunga mafunzo ya magonjwa yasiyoambukiza yaliyoratibiwa na
READ MORE