• TANZANIA YAPOKEA TENA YA  CHANJO CORONA DOZI 499,590 ZA Pfizer.

    TANZANIA YAPOKEA TENA YA CHANJO CORONA DOZI 499,590 ZA Pfizer.0

    • Afya
    • November 23, 2021

    Na WAMJW-DSM Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea Dozi 499,590 za Pfizer ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa Serikali wa kuwakinga Wananchi dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19. Hafla fupi ya mapokezi imefanyika Novemba 23, 2021 na kuongozwa na Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima katika uwanja wa ndege

    READ MORE
  • App mpya ya Kiswahili kuwezesha watoaji huduma za uzazi salama {+Video}

    App mpya ya Kiswahili kuwezesha watoaji huduma za uzazi salama {+Video}0

    • Afya
    • November 19, 2021

    Taasisi ya Afya Ifakara kwa kushirikiana na Maternity Foundation na Ubalozi wa Denmark nchini Tanzania pamoja na Ole Kirk Foundation leo hii inazindua toleo la Kiswahili la “Safe Delivery App” – nyenzo ya mafunzo kwa njia ya simu na msaada kwa watoa huduma za afya ili kuhakikisha uzazi salama kwa akina mama na watoto wachanga

    READ MORE
  • RAIS DK.MWINYI AMEFUNGUA JENGO LA WAGONJWA WA AKILI KIDONGOCHEKUNDU

    RAIS DK.MWINYI AMEFUNGUA JENGO LA WAGONJWA WA AKILI KIDONGOCHEKUNDU0

                                   STATE HOUSE ZANZIBAR                        OFFICE OF THE PRESS SECRETARY                                           PRESS RELEASE Zanzibar                                                                        Novemba 18, 2021 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia na watoto pamoja na Tume ya Uratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya kuzitafutia ufumbuzi changamoto mbali

    READ MORE
Translate »