Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kukagua ujenzi wa majengo ya Wizara mbalimbali katika mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma, Septemba 5, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mafundi wanaojenga jengo la ofisi kuu ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakati alipokagua
READ MOREAsema uamuzi huo umewasaidia wafanyabiashara kufanya Biashara Kwa uhakika. Zaidi ya 95% ya mafuta Ya kula hupita bandari ya mbweni. Aiagiza Mamlaka ya Bandari TPA Na TARURA kuandaa michoro, gharama Za barabara Na miundombinu ya bandari. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameelekeza Mamlaka ya Bandari kufanya Maboresho ya Miundombinu ya
READ MORE- Habari, Uchumi
- September 1, 2022
Na Barnabas Kisengi-Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu Nchemba amesema suala la kodi ya tozo halita hairishwa kwani zoezi hilo limekuja kuunganisha nguvu kutekeleza mahitaji ya lazima ambayo yalikuwa pengine yanakosa bajeti. Pia Serikali imewataka wananchi kuwa watulivu juu ya suala la tozo huku ikiwawashukuru wananchi hao kwa kutoa maoni yao ya suala
READ MORE