- Habari, Kitaifa
- July 15, 2022
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kusimamia ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya wananchi inayojengwa katika maeneo yote nchini yakiwemo ya vijijini ili kuhakikisha inaleta tija na kuwawezesha wananchi kupata huduma bora kwa wakati. Mheshimiwa Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan anataka kuona Watanzania wote wanapata huduma zote muhimu za kijamii zikiwemo
READ MORE- Habari, Kitaifa
- July 15, 2022
Na Barnabas Kisengi -Arusha. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi ameuelekeza uongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kujenga uzio katika Shule ya Sekondari ya Oldonyowas iliyopo katika Kijiji cha Oldonyowas Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, ili kulinda miundombinu ya Serikali iliyojengwa kwa jitihada
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi anatarajia kuanza ziara ya Kiserikali katiika Mikoa mitano ya Zanzibar kuanzia Julai 16, 2022. Ziara hiyo itaanzia Mkoa wa Mjini Magharibi na kudumu hadi Julai 18, 2022, ambapo Dk. Mwinyi atakagua miradi mbali mbali ya maendeleo hususan ile inayoendelezwa kupitia Fedha za
READ MORE