
Na Barnabas Kisengi Dodoma Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Januari 28, 2023 ameshiriki Bunge Bonanza lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi na sekondari ya John Merlin ya jijini Dodoma ambapo ametumia fursa hiyo kuwasisitiza wabunge na wananchi wengine washiriki katika michezo ili kuipa miili yao nguvu na uwezo wa
READ MORE
Na Moreen Rojas,Dodoma. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa wito kwa vijana wa kiume na wanaume pamoja na wale wote wanaotekeleza vitendo vya kikatili dhidi watoto na wanawake kuacha mara moja kwani kundi kubwa linaloathirika na vitendo hivyo ni watoto na wanawake. Senyamule ametoa wito huo January 28, 2023 katika hospitali ya Rufaa
READ MORE
Na Barnabas Kisengi Dodoma MBUNGE wa Viti Maalum Mariam Ditopile ameahidi mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wanafunzi katika shule maalum Kongwa kitengo cha viziwi ili kuondoa changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu. Msaada huo umefuatia baada ya kusomwa kwa taarifa ya shule inayoonyesha uwepo wa wanafunzi wanaoshindwa kuhudhuria masomo
READ MORE