• TTB YASHIRIKI TAMASHA LA KUDUMISHA MILA NA TAMADUNI ZA KIAFRIKA.

    TTB YASHIRIKI TAMASHA LA KUDUMISHA MILA NA TAMADUNI ZA KIAFRIKA.0

    Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeshiriki katika Tamasha la kudumisha na kuhifadhi Mila na Tamaduniza Kiafrica kwa ajili ya kizazi kijacho ambapo Bi Esta Solomoni , Mkuu wa ofisi ya TTB kanda yaKaskazini alipata nafasi ya kutoa wasilisho kuhusu utamaduni za kitanzania, vivutio vya utalii vyaTanzania pamoja na fursa za Uwekezaji zilizopo katika sekta ya

    READ MORE
  • Serikali inatoa mikopo isiyo na riba ya pembejeo za ufugaji samaki.

    Serikali inatoa mikopo isiyo na riba ya pembejeo za ufugaji samaki.0

    Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Maendelo ya Kilimo (TADB) inatekeleza mradi wa kutoa mikopo yenye masharti nafuu na isiyo na riba ya pembejeo za ufugaji samaki ikijumuisha vizimba, vifaranga vya samaki na chakula cha samaki kwa ajili ya ufugaji samaki kwa njia ya vizimba.Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde amesema hayo

    READ MORE
  • Elimu ya kukabiliana na Magonjwa ya mlipuko.

    Elimu ya kukabiliana na Magonjwa ya mlipuko.0

    Imeelezwa kuwa elimu ya kukabiliana na Magonjwa ya mlipuko ina umuhimu mkubwa katika jamii. Hayo yamebainishwa na Afisa afya kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera Jackline Saulo wakati akizungumza na watumishi katika kituo cha afya cha Kimeya Wilayani Muleba Mkoani Kagera mara baada ya timu ya  wataalam wa afya kutoka mkoa wa

    READ MORE
Translate »