• WAZIRI MKUIU APOKEA TUZO.

    WAZIRI MKUIU APOKEA TUZO.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akionesha tuzo aliyopewa na Bodi ya Usajili wa Wathamini ikiwa ni pongezi za dhati kwa Serikali ya Awamu ya Sita kwa juhudi zake za kuwaletea maendeleo Watanzania na kuwajengea uwezo wa kujitegemea, . Waziri Mkuu alipokea tuzo hiyo baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Nne wa Bodi hiyo uliofanyika kwenye Kituo

    READ MORE
  • HOTUBA YA WAZIRI MKUU MH, MAJALIWA LEO BUNGENI.

    HOTUBA YA WAZIRI MKUU MH, MAJALIWA LEO BUNGENI.0

    HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB.), WAZIRIMKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUAHIRISHAMKUTANO WA 13 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 10 NOVEMBA, 2023 JIJINI DODOMA UTANGULIZIShukurani Check Against Delivery 2 Check Against Delivery 3 Maswali na Majibu Tatu: Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa wote

    READ MORE
  • UTEUZI.

    UTEUZI.0

    READ MORE
  • MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI LEO NOVEMBA 10,2023.

    MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI LEO NOVEMBA 10,2023.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hoja ya kuahirisha mkutano wa 13 wa Bunge jijini Dodoma. Novemba 10, 2023. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hoja ya kuahirisha mkutano wa 13 wa Bunge jijini Dodoma. Novemba 10, 2023. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo Zitto Kabwe, kwenye viwanja vya Bunge jijini

    READ MORE
  • RAIS DK.MWINYI ASEMA AMANI YA NCHI NI JAMBO LA MSINGI.

    RAIS DK.MWINYI ASEMA AMANI YA NCHI NI JAMBO LA MSINGI.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuitunza amani na kudumisha umoja pamoja na mshikamano wa watu nchini. Rais Dk Mwinyi amesema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika Msikiti wa Masjid Kheir Batini

    READ MORE
  • ROBO YA KWANZA SERIKALI IMEKUSANYA TRILIONI 9.06.

    ROBO YA KWANZA SERIKALI IMEKUSANYA TRILIONI 9.06.0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024, mapato kutoka vyanzo vyote vya ndani na nje yalifikia shilingi trilioni 9.06 sawa na asilimia 89.6 ya lengo la kipindi hicho. “Kati ya kiasi hicho, mapato ya ndani yalikuwa shilingi trilioni 6.94 sawa na asilimia 96.2 ya lengo la kipindi hicho,” amesema. Amesema hayo

    READ MORE
Translate »