
- Bungeni, Habari
- November 10, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hoja ya kuahirisha mkutano wa 13 wa Bunge jijini Dodoma. Novemba 10, 2023. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hoja ya kuahirisha mkutano wa 13 wa Bunge jijini Dodoma. Novemba 10, 2023. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo Zitto Kabwe, kwenye viwanja vya Bunge jijini
READ MORE
- Dini, Habari
- November 10, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuitunza amani na kudumisha umoja pamoja na mshikamano wa watu nchini. Rais Dk Mwinyi amesema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika Msikiti wa Masjid Kheir Batini
READ MORE
- Biashara, Bungeni, Habari
- November 10, 2023
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024, mapato kutoka vyanzo vyote vya ndani na nje yalifikia shilingi trilioni 9.06 sawa na asilimia 89.6 ya lengo la kipindi hicho. “Kati ya kiasi hicho, mapato ya ndani yalikuwa shilingi trilioni 6.94 sawa na asilimia 96.2 ya lengo la kipindi hicho,” amesema. Amesema hayo
READ MORE