Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wa dini mara baada ya kuhitimishwa kwa dua na maombi ya kuliombea taifa kuelekea miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma leo Aprili 22, 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wa dini mara baada ya kuhitimishwa kwa dua na maombi ya kuliombea taifa kuelekea miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma leo Aprili 22, 2024.