Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje kwa njia ya mtandao (Video Call) walipokuwa kwenye mkutano unaojadili Mkakati wa Diplomasia ya Umma na Tathmini ya kiutendaji (Retreat) uliofanyika Kibaha mkoani Pwani tarehe 22 Aprili, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,