RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Na Barnabas Kisengi, Mpwapwa Kamati ya kudumu ya uchumi, ujenzi na mazingira ya Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imemwagiza Afisa mazingira wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanatumia sheria ndogo ndogo za Halimashauri kuhakikisha wanawachukulia hatuo watu wanaoharibu mazingira wilayani hapo. Akitoa taarifa ya kamati hiyo kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa
READ MORENa Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es salaam Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda (Mb) leo tarehe 2 Septemba 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Wilmar Tanzania Ndg Sachin Suman katika ofisi za Wizara ya Kilimo zilizopo katika eneo la Tazara Jijini Dar es salaam. Waziri Mkenda amekutana na
READ MORENa Barnabas Kisengi ,Dodoma KAMATI ya maadili ya Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imekamilisha zoezi la kuwahoji Wabunge wa chama hicho akiwemo Askofu Josephat Gwajima Mbunge wa Jimbo la Kawe Dar-es-salaam, Mbunge wa Jimbo la Ukonga Dar-es-salam Jerry Silaa na aliyekuwa katibu wa NEC Itifaki na uenezi Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa. Akizungumza na
READ MORE