RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
NA MWANDISHI WETU, MOROGORO BONDE la Wami Ruvu limeeleza kusikitisha na baadhi ya wananchi katika kijiji cha Kibangile Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kuendelea kufanya shughuli za kibinadamu katuka mto Ruvu ikiwemo uhimbaji madini pembezoni mwa mtu huo Akielezea usikishwa kwake na hali hiyo mhandisi rasilimali maji bonde la wami ruvu john kasambili alisema kitendo
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela amewataka wananchi Mkoani humo kutunza na kusimamia vizuri miradi yote inayotekelezwa na Taasisi ya The Islamic Foundation ili kujenga ustawi imara wa jamii ya watanzania. Shigela alitoa wito huo jana alipotembelea miradi mbalimbali inayotoa huduma za kijamii katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na kuridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na
READ MOREPicha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WAMJW Na Mwandishi Maalum Serikali imewahakikishia wafungwa na mahabusu nchini kuendelea kutatua changamoto zinazowakabili hususani zinazohusu masuala ya Ustawi wa Jamii wakiwa magerezani kwa kuzingatia taratibu zote kama ilivyo kwa makundi mengine. Hayo yamebainishwa leo jijini Dar Es Salaam na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Idara Kuu ya Maendeleo
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Jabir Shekimweri amewataka wafanyakazi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jijini Dodoma (DUWASA) kuiga nyayo za alikopita Mhandisi Mayunga kashilimu kwa kuwa waaminifu, wazalendo, wadilifu na kuwa na hofu ya mungu katika utumishi wao katika kazi zao siku zote wawatumikiapo wananchi Kauli
READ MORE