RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
John Pombe Joseph Magufuli (29 Oktoba 1959 – 17 Machi 2021) alikuwa rais wa tano wa Tanzania, akitokea katika chama cha CCM. Aliongoza kwa miaka mitano na nusu hadi kifo chake. Aliwahi kuwa mbunge wa jimbo la Biharamulo Mashariki katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania na tangu mwaka 2010 waziri wa ujenzi.[1] Tarehe 12 Julai 2015 alichaguliwa kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi akiwa na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassani. Tarehe 29 Oktoba 2015 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilimtangaza kuwa rais wa awamu ya tano
READ MORENa Mwandishi wetu Dodoma VIONGOZI wa madhehebu ya dini mkoani Dodoma wamesema kuwa kifo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli kilichotoke Jumanne tarehe 17/03/2021 ni sawa daraja lililokuwa linatumiwa na watanzania kwa ajili ya kujipatia maendeleo na sasa limekatika katikati ya mto na kuwarudisha nyuma watanzania kwenye umasikini. Askofu Mkuu
READ MORENa Saleh Ramadhani–Dodoma Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai amesema wao kama mhimili wa Bunge wamepokea kwa masikitiko makubwa kuhusiana na kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ambapo amesema ni pigo kubwa kwa Watanzania kwani alikuwa shupavu na mpambanaji. Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Machi 18,2021
READ MORESTATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE Zanzibar 18.03.2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za rambirambi kwa Mama Janeth Magufuli, familia pamoja na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na wananchi wote wa Tanzania kufuatia kifo
READ MORE