• Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano Jijini Arusha.

    Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano Jijini Arusha.0

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, tarehe 22 Novemba, 2021 amefungua Hoteli ya Gran Meliá yenye hadhi ya Nyota Tano iliyopo Jijini Arusha. Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa Hoteli hiyo, Mhe. Rais Samia amemshukuru Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Hoteli hiyo Bw. Ali Saeed Albwardy kwa uamuzi wake wa kuwekeza

    READ MORE
  • TIGO WAZINDUA KAMPENI YA “WAGIFTISHE GIFT JUU YA GIFT

    TIGO WAZINDUA KAMPENI YA “WAGIFTISHE GIFT JUU YA GIFT0

    Leo Novemba 18, 2021 Kampuni inayoongoza katika kuhakikisha Mtanzania anaishi Maisha ya Kidigitali hapa nchin, Tigo, imezindua kampeni mpya ya kufunga mwaka inayofahamika kama “WAGIFTISHE GIFT JUU YA GIFT” yenye lengo na dhumuni la kufanya sikukuu za mwisho wa mwaka kuwa za kipekee wa wateja wa Tigo nchi nzima ambapo mteja atapata nafasi ya kushinda

    READ MORE
  • TIGO NA WAKANDI KULETA NEEMA KWA SACCOS

    TIGO NA WAKANDI KULETA NEEMA KWA SACCOS0

    Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za Kidigitali nchini Tigo Tanzania imetia saini ya Makubaliano na Kampuni ya Norway inayofahamika kwa jina la Wakandi Group AS, ili kurahisisha huduma za kifedha kidigitali kwa kupitia Tigo Pesa kwa SACCOS na taasisi ndogondogo za kifedha zilizosajiliwaTigo pesa imeunganisha jukwaa lake la malipo na Wakandi’s Credit Association Management

    READ MORE
  • INFINIX NOTE 11 SERIES YAZINDULIWA TANZANIA

    INFINIX NOTE 11 SERIES YAZINDULIWA TANZANIA0

    Leo tarehe 11, Novemba Kampuni inayoongeza kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali Nchini Tigo Tanzania kwa kushirikiana na Kampuni ya Simu ya Infinix Tanzania wamezindua simu mpya ya Infinix NOTE 11 Pro, ambayo itapatikana kwenye maduka ya Tigo na Infinix nchini kwa bei ya 600,000 na NOTE 11 kwa Shilingi 510,000. Akizungumza wakati wa Uzinduzi

    READ MORE
  • TIGO WASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA

    TIGO WASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA0

    Na Mwandishi Wetu. Mtandao Namba moja unaoongoza kwa Utoaji wa Huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo Tanzania , umeshiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Kifedha yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar Es Salaam na kauli mbiu kwa Mwaka huu ni “Boresha Maisha kupitia Elimu ya Fedha” Maadhimisho haya yameandaliwa na Wizara

    READ MORE
  • Waziri wa Nchi Uwekezaji Mhe.Soraga amesema Serikali inaendelea kuboresha vivutio vya uwekezaji.

    Waziri wa Nchi Uwekezaji Mhe.Soraga amesema Serikali inaendelea kuboresha vivutio vya uwekezaji.0

    Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrick Ramadhan Soraga amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kufanya jitihada mbali mbali katika kuboresha vivutio vya uwekezaji hapa nchini. Ameyasema hayo Afisi kwakwe Mwanakwerekwe wakati alipokutana na Kaimu Kamishna kutoka Ubalozi wa Uingereza Nchini Tanzani Bw. Rick Stern aliekuja kwa lengo la

    READ MORE
Translate »