TIGO PESA WAZINDUA PROMOSHENI YA "LIPA KWA SIMU , UWin KUHAMASISHA MALIPO KIDIGITALI
- Biashara
- November 23, 2021
Leo Novemba 18, 2021 Kampuni inayoongoza katika kuhakikisha Mtanzania anaishi Maisha ya Kidigitali hapa nchin, Tigo, imezindua kampeni mpya ya kufunga mwaka inayofahamika kama “WAGIFTISHE GIFT JUU YA GIFT” yenye lengo na dhumuni la kufanya sikukuu za mwisho wa mwaka kuwa za kipekee wa wateja wa Tigo nchi nzima ambapo mteja atapata nafasi ya kushinda
READ MOREKampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za Kidigitali nchini Tigo Tanzania imetia saini ya Makubaliano na Kampuni ya Norway inayofahamika kwa jina la Wakandi Group AS, ili kurahisisha huduma za kifedha kidigitali kwa kupitia Tigo Pesa kwa SACCOS na taasisi ndogondogo za kifedha zilizosajiliwaTigo pesa imeunganisha jukwaa lake la malipo na Wakandi’s Credit Association Management
READ MORELeo tarehe 11, Novemba Kampuni inayoongeza kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali Nchini Tigo Tanzania kwa kushirikiana na Kampuni ya Simu ya Infinix Tanzania wamezindua simu mpya ya Infinix NOTE 11 Pro, ambayo itapatikana kwenye maduka ya Tigo na Infinix nchini kwa bei ya 600,000 na NOTE 11 kwa Shilingi 510,000. Akizungumza wakati wa Uzinduzi
READ MORENa Mwandishi Wetu. Mtandao Namba moja unaoongoza kwa Utoaji wa Huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo Tanzania , umeshiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Kifedha yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar Es Salaam na kauli mbiu kwa Mwaka huu ni “Boresha Maisha kupitia Elimu ya Fedha” Maadhimisho haya yameandaliwa na Wizara
READ MORE