TIGO PESA WAZINDUA PROMOSHENI YA "LIPA KWA SIMU , UWin KUHAMASISHA MALIPO KIDIGITALI
- Biashara
- November 23, 2021
• Wateja watakaonunua simu hiyo watajipatia Gb96 za intaneti kwa mwaka mzima Dar es Salaam. Oktoba 12, 2021. Kampuni inayoongza kwa mageuzi ya kidigitali nchini, Tigo kwa kushirikiana na Samsung Electronics wamezindua Simu janja aina ya Samsung Galaxy Z Fold3 na ZFlip3. Ushirikiano huo ni sehemu ya mkakati wa Tigo wa kuongea matumizi ya mtandao
READ MOREWateja wa Tigo Waipongeza Tigo Pesa Kibubu, Bidhaa mpya kutoka Tigo ya Kuweka Akiba kupitia simu za mkononiNa Mwandishi wetuWateja wa Tigo Pesa nchini wameisifia bidhaa mpya ya kidigitali ya kutoa huduma za kifedha kutoka Tigo Tanzania maarufu kama Tigo Pesa Kibubu, wakisema kwamba hii ni bidhaa ya kimapinguzi ambayo itabadilisha namna wanavyofahamu na kushughulikia
READ MORENa Mwandishi Wetu. Ikiwa ni Wiki ya Huduma kwa Wateja mtandao namba moja unaoongoza kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo, haukubaki nyuma katika kuhakikisha unatoa kilicho bora kwa wateja wake. Kama zinavyoelezea habari Picha hapa Chini . Viongozi wa Vitengo mbalimbali Tigo , wajibu na kutatua maswali ya Wateja wa Tigo katika
READ MORENa Mwandishi Wetu. Tarehe 4 Oktoba 2021. Kampuni ya kidigitali inayoongoza Tanzania, Tigo iliadhimisha wiki ya huduma kwa wateja mwaka huu kwa shamra shamra za kipekee. Wiki ya huduma kwa wateja ilianza kwa matembezi mafupi katika mitaa ya mji wa Dodoma, kisha baadae kuelekea katika uzinduzi rasmi wa wiki ya CSW, ambayo ilihitimishwa na chakula
READ MORE