TIGO PESA WAZINDUA PROMOSHENI YA "LIPA KWA SIMU , UWin KUHAMASISHA MALIPO KIDIGITALI
- Biashara
- November 23, 2021
Kampuni Namba moja ya Huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo wamezidi kutangaza ofa kabambe Ndani ya Viwanja vya maonyesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) . Akizungumza na waandishi wa Habari Mtaalam wa Vifaa vya Mawasiliano kutoka Tigo Bwana Brass Abdon amewasihi watanzania kufika katika banda la Tigo lililopo katika viwanja vya sabasaba, Maduka
READ MORE06, Julai, 2021 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. MAJALIWA: HALMASHAURI ZA DODOMA ANZISHENI VITALU VYA MICHE YA ZABIBU WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza halmashauri zote za mkoa wa Dodoma zianzishe vitalu vya kuzalisha miche ya zabibu ili kuwawezesha wakulima kupata mbegu kwa uhakika. Pia, Waziri Mkuu amevitaka vyama vya ushirika wa kilimo cha zao la
READ MOREWaziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 6, 2021 amekutana na wadau wa zao la zabibu kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuliendeleza zao hilo ili liweze kuleta tija kwa wakulima, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
READ MOREWanafunzi wanaosoma chuo kikuu cha kilimo nchini China CAU wameiomba serikali ya mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na chuo hicho ambao wanatekeleza mradi wa pamoja wa kupunguza umasikini kwa wakulima wadogo kupitia kilimo cha mahindi kuangalia namna ya kuwapunguzia gharama wakulima hao ili kuendana na kipato chao Wanafunzi hao ambao wanasoma kwa njia ya mtandao
READ MORELeo Julai 5, 2021 Kampuni namba moja ya Huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo kwa kushirikiana na wabia Wake ambao ni kampuni ya Simu ya SAMSUNG wametangaza ujio wao mpya uliojaa Ofa tele hasa katika msimu huu wa Maonyesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba). Akitangaza habari hizo njema kwa Wateja wa Tigo na
READ MORE