TIGO PESA WAZINDUA PROMOSHENI YA "LIPA KWA SIMU , UWin KUHAMASISHA MALIPO KIDIGITALI
- Biashara
- November 23, 2021
Leo Julai 2, 2021 Kampuni namba moja ya Huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo Tanzania imetambulisha rasmi Ubia na Kampuni inayotengeneza, Kusambaza na Kuuza Simu Janja hapa nchini Xiaomi kwa mara ya kwanza kabisa, ambapo siku ya Leo Rasmi Xiaomi inawaletea Watanzania Redmi 9T simu yenye ubora wa Hali ya Juu na Inakuja Na Ofa
READ MORENa Mwandishi Wetu KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo, imedhamini rasmi Maonyesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). Tigo imeweka rekodi ya kudhamini maonyesho hayo kwa mwaka wa sita ambapo wateja wa Tigo wataendelea kupata ofa maalum katika msimu huu wa maonyesho ya Saba Saba. Katika maonyesho hayo ya
READ MORENa Mwandishi wetu. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Prof Godius Kahyarara amesema Serikali iko mbioni kuanzisha vituo vya biashara vya kimataifa katika maeneo ya mipakani ili kuwezesha ununuzi wa bidhaa zetu kwa urahisi. Katibu Mkuu huyo ametoa agizo hilo wakati akifunga mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa Biashara kutoka mikoa yote nchini yaliyokuwa
READ MORENa Mwandishi wetu, Dar Es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Watumishi kukopa kwa malengo ya kuboresha maisha ya Sasa na baadae na kuhakikisha mikopo wanayochukuwa wanaitumia kuanzisha miradi yenye tija. RC Makalla amewataka Walimu kuacha kurubuniwa kwa mikopo ya Chapu Chapu yenye riba kubwa ambayo mwisho wa siku
READ MORERais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amepongeza uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya Baraza la Biashara la Afrika Mashariki na Jumuiya ya wafanyabiashara Zanzibar katika kuwaunganisha wafanyabiashara wake. Rais Dk. Mwinyi alieleza hayo katika hotuba iliosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
READ MORE