Na Mwandishi Dar es salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesema mfuko wa uwekezaji wa pamoja wa FAIDA FUND umeanzishwa kwa lengo la kuwanufaisha watanzania wote wa kipato cha chini, kati na cha juu ambao wamekuwa wakikabiliana na changamoto ya kupata mtaji wa kuwekeza
READ MORENa Mwandishi Wetu Siku ya Alhamisi 27 Oktoba 2022, Benki ya I&M Tanzania hivi karibuni imefanya hafla ya chakula cha jioni na wateja wake iliyofuatiwa na usiku wenye muziki na burudani katika ukumbi wa Serena Hotel, Dar es salaam. Hafla hiyo iliyokuwa na watu wengi waliohudhuria, ilihudhuriwa pia na Mwenyikiti wa Bodi wa kampuni hiyo,
READ MORENa Mwandishi Wetu. • SASA ZIMEBAKIA TIKETI 29 na vifurushi vya vifaa vya nyumbani 24 kutoka Hisense. Oktoba 21, 2022, Kampuni inayoongoza Tanzania katika kuhakikisha mtanzia anaishi maisha ya kidijitali Tigo Tanzania, kupitia Promosheni yake ya WAKISHUA TWENZETU QATAR na Hisense kwa kushirikiana na kampuni ya HISENSE wametoa tiketi 19 za kwenda Qatar kushuhudia kombe
READ MORENa. Wellu Mtaki Pwani Jumuiya ya wafanyabiashara wa mkoa wa pwani yaiomba Benki ya NBC kuongeza vivutio Ili wafanyabiashara kujiunga na bank hiyo huku wafanyabiashara wa mkoa wa pwani wakiwahakikishia bank hiyo kuwa watakuwa na ushirikiano mkubwa kuazia sasa. Hayo yamezungumzwa na wafanyabiashara wakati wa warsha ya wafanyabiashara na bank ya NBC mkoani pwani iliyojumuisha
READ MOREKampuni inayoongoza kwa maisha ya kidijitali nchini , Tigo Tanzania imeshirikiana na Kampuni ya simu za mkononi TECNO kuzindua simu mpya za mfululizo wa TECNO , ijulikanayo kama TECNO Spark 9. Simu za kisasa za TECNO Spark 9 zinakuja zikiwa na intaneti BURE ya GB 78 kwa mwaka mzima kutoka kwa Tigo, na kuhakikisha kuwa
READ MORE