Katika kuhakikisha mazao ya nyuki yanayozalishwa nchini yanaendelea kuwa na viwango vya ubora vinavyohitajika katika masoko ya kimataifa, Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS inatarajia kuja na muongozo wa kuongeza thamani ya mazao hayo nchini. Akizungumza mara baada ya kumaliza mafunzo maalumu ya kuongezaa dhamani ya mazao
READ MORENi hivi; 1. Kilichotolewa ni tangazo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutaka maoni ya wadau kuhusu azimio la Bunge la kuridhia mapendekezo ya Serikali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendelezaji wa kiuchumi na kijamii unaolenga uendeshaji na uboreshaji wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania
READ MORE
Kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing ya nchini Marekani imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F kwa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA) tayari kwa safari ya ndege hiyo kutoka Marekani na kuja hapa nchini Tanzania. Makabidhiano hayo yamefanywa katika kiwanda Boeing kilichopo Jiji Seattle nchini Marekani kwa Wawakilishi wa Serikali ya Tanzania
READ MORE