SERIKALI YAKANUSHA KUUZWA MIAKA 100 BANDARI YA DAR ES SALAAM.

SERIKALI YAKANUSHA KUUZWA MIAKA 100 BANDARI YA DAR ES SALAAM.

Ni hivi; 1. Kilichotolewa ni tangazo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutaka maoni ya wadau kuhusu azimio la Bunge la kuridhia mapendekezo ya Serikali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendelezaji wa kiuchumi na kijamii unaolenga uendeshaji na uboreshaji wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania

Inaweza kuwa picha ya maandishi
Inaweza kuwa picha ya maandishi

Ni hivi;

1. Kilichotolewa ni tangazo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutaka maoni ya wadau kuhusu azimio la Bunge la kuridhia mapendekezo ya Serikali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendelezaji wa kiuchumi na kijamii unaolenga uendeshaji na uboreshaji wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA).

NA SIO KUIPATIA KAMPUNI YA DP WORLD (Dubai World) BANDARI YA DAR ES SALAAM KWA MIAKA 100, AMA KUUZWA KWA BANDARI KWA MIAKA 100 KAMA WAPOTOSHAJI WANAVYODAI.Wapuuzeni, Serikali ipo makini kulinda maslahi ya nchi na chochote kitakachofanyika, kitafanyika kwa uwazi na mtajulishwa.

Inaweza kuwa picha ya maandishi yanayosema 'Kutokana na kusambazwa kwa taarifa zisizosahihi kuhusu mpango wa uwekezaji katika bandari zetu nchini Tanzania, Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali inakuletea Mjadala Maalum wa wazi kupitia Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali kuanzia saa 3:00 usiku leo tarehe 07 Juni, 2023. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari pamoja na wataalamu mbalimbali watajibu hoja zote zinazotolewa kuhusu uwekezaji katika bandari na mwelekeo wetu. USIKOSE KUUNGANA USIKOSEKUUNGANAASILIUPATE NASI FURSA YA KUULIZA MASWAL KUPATA UELEWA ZAIDI. Maelezo Juni7,2023 2023 Saa 3:00 Usiku 0040 www.maelezo.go.tz'
Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »