Wanafunzi wanaosoma chuo kikuu cha kilimo nchini China CAU wameiomba serikali ya mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na chuo hicho ambao wanatekeleza mradi wa pamoja wa kupunguza umasikini kwa wakulima wadogo kupitia kilimo cha mahindi kuangalia namna ya kuwapunguzia gharama wakulima hao ili kuendana na kipato chao Wanafunzi hao ambao wanasoma kwa njia ya mtandao
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar awamu ya nane imeanza kutekeleza Ilani ya Uchaguzi na hivi karibuni Serikali imeshapitisha Bajeti yake na kuhakikisha kwamba yake waliowaahidi wananchi yanatekelezwa. Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi ameyasema hayo Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokutana na Katibu Mkuu
READ MORENa Barnabas Kisengi-Kibakwe. WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema katika operesheni ya kuwasaka majambazi inayoendelea nchini kati ya majambazi kumi wanaokamatwa mitaani, watatu wanatoka gerezani. Amesema kuwafunga majambazi hao hakusaidii sana kwasababu wanarudi mitaani na kuendelea kufanya uhalifu wa aina mbalimbali pamoja na kuwaua watu wenye haki, hivyo watatafuta namna nyingine
READ MORE