RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar awamu ya nane imeanza kutekeleza Ilani ya Uchaguzi na hivi karibuni Serikali imeshapitisha Bajeti yake na kuhakikisha kwamba yake waliowaahidi wananchi yanatekelezwa. Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi ameyasema hayo Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokutana na Katibu Mkuu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar awamu ya nane imeanza kutekeleza Ilani ya Uchaguzi na hivi karibuni Serikali imeshapitisha Bajeti yake na kuhakikisha kwamba yake waliowaahidi wananchi yanatekelezwa.
Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi ameyasema hayo Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokutana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo na ujumbe wake wakati walipokwenda kujitambulisha kwa Mheshimiwa Rais kwa mara ya kwanza tangu kuteuliwa kushika wadhifa huo.
Abdi Shamna, Ikulu Zanzibar
Postal Address: 2422 Tel.:0777476982. Fax: 024 2231822
E-mail: abdya062@gmail.com
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *