• SHERIA YA TAALUMA YA USTAWI ITAWAKOMBOA MAKUNDI MAALUM – WAZIRI DKT. GWAJIMA

    SHERIA YA TAALUMA YA USTAWI ITAWAKOMBOA MAKUNDI MAALUM – WAZIRI DKT. GWAJIMA0

    Na Wizara ya Afya Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum  Dkt. Dorothy Gwajima amesema Sheria ya Ustawi wa Jamii ikiundwa itarahisisha Uratibu wa utetezi wa haki za Makundi maalum. Waziri Dkt. Gwajima ameyasema hayo wakati akifungua Mkutano wa mwaka wa Chama cha Maafisa Ustawi wa Jamii(TASWO) jijini Dodoma Oktoba 26,

    READ MORE
  • WIZARA HII NI YA JAMII LAZIMA KWENDA ‘SITE’- WAZIRI GWAJIMA

    WIZARA HII NI YA JAMII LAZIMA KWENDA ‘SITE’- WAZIRI GWAJIMA0

    Na WMJJWM, Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi, Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema Wizara hiyo itaendelea kufuatilia utekelezaji wa Sera na Sheria inazozisimamia huku yeye mwenyewe akiwa mstari wa mbele kwenda saiti za jamii kusikiliza na kutatua changamoto za jamii. Mhe. Dkt. Gwajima ameyasema hayo akifungua jengo la

    READ MORE
  • VYUO VYA MAENDELEO YA MAENDELEO KUJIKITA KATIKA TAFITI KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI NCHINI

    VYUO VYA MAENDELEO YA MAENDELEO KUJIKITA KATIKA TAFITI KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI NCHINI0

    ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, Na WMJJWM Dodoma  Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vinavyosimamiwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum vimejipanga kuweka mikakati ya kufanya Tafiti mbalimbali katika jamii zitakazosaidia kuondokana na vitendo vya ukatili nchini. Hayo yamebainika wakati wa Kikao kazi cha Utekelezaji wa shughuli za Taaluma katika Taasisi na Vyuo vya Maendeleo

    READ MORE
Translate »