WIZARA YA ELIMU YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI NA WATUMISHI KUHUSU MASUALA YA PROTOKALI
- ELIMU
- November 1, 2022
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), limetangaza matokeo ya darasa la saba ya mwaka huu likisema watahiniwa zaidi ya 1.07 milioni kati ya 1.34 milioni wenye matokeo sawa na asilimia 79.62 wamefaulu kwa kupata madaraja A na B na C. Bonyeza hapa kuona Matokeo Darasa la Saba 2022… https://matokeo.necta.go.tz/psle2022/psle.htm Kati ya hao wasichana ni 558,825 ambao
READ MORENa Mathias Canal, WEST-Dodoma Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prf Adolf Mkenda (Mb) pamoja na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Lela Mohamed wameongoza Kikao cha kazi cha mapitio ya Sera na Mitaala. Akizungumza katika kikao hicho cha Menejimenti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na timu za mapitio
READ MORENa Moreen Rojas,Dodoma. Wakala wa maendeleo ya Uongozi wa elimu (ADEM) imedhahili walimu 1,839 katika mafunzo ya stashahada ya uongozi na usimamizi wa elimu DEMA na stashahada ya udhibiti ubora wa shule DSQA ili kuwapa ujuzi na maarifa walimu katika usimamizi,ufuatiliaji na tathimini katika elimu. Hayo yameelezwa na mtendaji mkuu wa wakala (ADEM) Dkt.Siston Mgullah
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ametembelea na kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Shule Mpya ya wasichana Dar es salaam inayojengwa kwenye Kata ya Kwembe Wilaya ya Ubungo ambapo amemshukuru Rais Samia kwa kutoa Shilingi Bilioni 3 za kufanikisha Ujenzi huo. RC Makalla amesema Shule hiyo ya bweni itachukuwa Wanafunzi
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule, amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari unaendelea kujengwa jijini Dodoma.Madarasa hayo yanayojengwa kwa fedha zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kukidhi nafasi kwa wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza wanaotarajia kuanza masomo yao mwakaka 2023. Mkoa wa Dododma Rosemary Senyamule
READ MORE