Na Barnabas Kisengi-Dodoma Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Daniel Chongolo ameutaka Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) kutumia vikao vyao kujadili namna ya kutatua changamoto zinazowahusu wanawake badala ya kutumia nafasi hiyo kuseng’enyana, kupeleka ajenda za siri jambo ambalo halina maslahi kwa Taifa. Kauli hiyo ameitoa leo jijini Dodoma wakati akizungumza na Baraza Kuu
READ MOREKATIBU Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Kenani Kihongosi amewataka Vijana kutumia mitandao ya kijami kwa kupata kipato na kupashana habari zenye tija na si kudhalilisha utu wa viongozi Chama na Taifa.Ameyasema hayo leo Jijini hapa wakati akizungumza na Vijana wa umoja huo kwenye hafla fupi ya kukaribishwa kwake Makao Makuu
READ MOREMwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha Tanzania Labour Party TLP Eng. Aivan Maganza amekitaka chama cha Demokrasia na Maendeleo chadema kuachana na mpango wa kudai katiba mpya. Eng. Maganza amesema hayo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mako makuu wa chama hicho jijini Dar es salaam.
READ MOREChama Cha Mapinduzi kimesema kinaridhishwa na kutambua jitihada kubwa zinazochukuliwa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya uwekezaji ambapo mazingira ya mazuri ya kuaminika na kuvutia ya uwekezaji nchini yamepelekea milango ya uchumi wa nchi kuanza kufunguka kwa kasi jambo ambalo linatoa taswira mpya ya Taifa kupiga hatua za kimaendeleo. Katibu wa
READ MOREUmoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi, UVCCM Kata ya Sandali Manispaa ya Temeke kupitia kwa Katibu wao, Mrisho Kamba wamemtaka Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa, John Pambalu kuachana kampeni yake ya kudai Katiba Mpya Bwana Mrisho Kamba amesema agenda ya Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
READ MORE