Na Mwandishi wetu, Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Mwanaidi Ali Khamis amesema zaidi ya watoto milioni 2.6 wa chini ya miaka mitano wamedumaa nazaidi ya watoto 270 wa umri huo hupoteza maisha kila mwaka kutokana na lishe duni. Akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Waandishi wa habari kuhusu
READ MORESerikali imesema tayari imeanza kufuatilia kupitia vyombo vya ndani taarifa za uwepo wa abiria mmoja aliyerudi nyumbani (India) mwenye aina mpya ya kirusi cha Uviko-19 ‘Omicron’ ambaye alitokea Tanzania. Imeeleza kuwa kwa mujibu wa taarifa za Maabara Kuu ya Taifa mpaka sasa hawajabaini anuwai mpya ya Uviko-19 (Omicron). Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya
READ MORENa WAMJW – DSM Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua Mpango Mkakati wa kudhibiti maambuzi ya Ugonjwa wa UVIKO-19 kwa Mkoa wa Dar es Salaam wenye lengo la kuthibiti kuenea kwa wimbi la nne la maambukizi hayo. Dkt Gwajima amezindua Mpango huo leo Jiji Dar Es
READ MOREWaziri wa Afya Dr. Dorothy Gwajima amesema msimamo wa Tanzania chanjo ni hiari bila malipo lakini kwa maoni yake yeye kama Kiongozi hajachanjwa na anaenda kuwaelimisha Wananchi anapaswa kujipima na kuachia ngazi “kwa maoni yangu Mimi hustahili, kaa pembeni na wewe uelimishwe na aliyeeelewa ukishaelewa ukawa wa mfano utarejea” “Wenye Mamlaka ya kuelimisha Watu wachanjwe
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kulinda na kuimarisha afya za Watanzania hasa wakati huu tunapoelekea kutimiza dira ya kuutokomeza UKIMWI nchini ifikapo mwaka 2030. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Ijumaa, Novemba 26, 2021) wakati akifungua Kongamano la Kisayansi la Kitaifa Kuhusu
READ MORENa WAMJW-DSM Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea Dozi 499,590 za Pfizer ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa Serikali wa kuwakinga Wananchi dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19. Hafla fupi ya mapokezi imefanyika Novemba 23, 2021 na kuongozwa na Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima katika uwanja wa ndege
READ MORE