RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Na Barnabas Kisengi, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mh. Ummy Mwalimu amepiga marufuku kubadilisha Walimu waliopelekwa katika Halmashauri za pembezoni bila ya kupeleka Walimu wengine wa mbadala. Waziri Ummy amepiga marufuku hiyo leo jijini Dodoma wakati akizungumza na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)
READ MORENa Barnabas Kisengi,Dodoma Waziri wa Afya Mendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto DKt Dorothy Gwajima amesema kuwa matumizi ya takwimu zenye ubora katika ngazi za chini ili kuweza kufanya maamuzi ya kisayansi bado ni changamoto katika halmashauri nchini jambo ambalo linarudisha nyuma Sekta ya Afya. Akizungumza kwenye madhimisho ya siku ya Epidemiology Duniani leo jijini Dooma katika
READ MORENa Mwandishi wetu Dodoma Wizara ya Madini imesaini Mkataba wa Shilingi Bilioni 22.02 na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa kuanza ujenzi wa Ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Hafla ya kusaini Mkataba wa ujenzi huo imefanyika katika Ofisi za Wizara ya Madini Mtumba jijini Dodoma Septemba 7, 2021 ambapo
READ MORE*Aitaka ishiriki kikamilifu katika utatuzi wa migogoro ya ardhi WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Mifungo na ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi ishiriki kikamilifu katika kutatua migogoro baina ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi. “Hakikisheni wafugaji wanaelimishwa na kuhamasishwa kufuga kulingana na maeneo
READ MORENa Barnabas Kisengi, Mpwapwa Jumla ya wanafunzi 6552 wa shule za msingi wilayani Mpwapwa wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu darasa la Saba inayotarajiwa kufanyika kesho hapa nchini Akizungumza na jfivetv.com Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mwanahamisi Ally amesema maandalizi yote yamekamilika vizuri na jumla ya shule 129 zilizopo wilayani mpwapwa zinatarajiwa kufanya
READ MORE