• SERIKALI  IMEAGIZA JAMII KULINDWA KUTOKANA NA ATHARI ZA KELELE

    SERIKALI IMEAGIZA JAMII KULINDWA KUTOKANA NA ATHARI ZA KELELE0

    Na Barnabas Kisengi-Dodoma  OFISI ya Makamu wa Raisi,Muungano na Mazingira kwakushirikiana na Ofisi ya Rais Tamisemi,Ofisi ya Waziri Mkuu uwekezaji,Wizara ya Afya,wizara ya Elimu na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetoa maelekezo mbalimbali  katika kuhakikisha inalinda afya ya Jamii kutokana na athari zitokanazo na kelele na mitetemo. Akizungumza na waandishi wa Habari hii leo

    READ MORE
  • #TANZIA: INJINIA MFUGALE AFARIKI DUNIA

    #TANZIA: INJINIA MFUGALE AFARIKI DUNIA0

    Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Injinia Mfugale amefariki Jijini Dodoma. Mfugale jana aliondoka na ndege akiwa na Katibu Mkuu ujenzi kuelekea Dodoma kwa safari ya Kikazi Amezidiwa leo saa tano asubuhi na kukimbizwa Hospitali ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma, Tanzania ambapo ndipo Mauti umemfika muda mchache baada ya kufikishwa.

    READ MORE
  • JAMII YATAKIWA KUSHIRIKI MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA

    JAMII YATAKIWA KUSHIRIKI MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA0

    Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW Na Mwandishi Wetu, Dodoma  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka jamii ya kitanzania kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia katika maeneo yao. Hayo yamebainika leo jijini Dodoma katika kikao kilichokutanisha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma

    READ MORE
Translate »