• SERIKALI YAPATA MWAROBAINI KILIMO CHA UMWAGILIAJI

    SERIKALI YAPATA MWAROBAINI KILIMO CHA UMWAGILIAJI0

    Na Mwandishi Wetu Iringa Serikali imebainisha kuwa suluhisho pekee la sekta ya Kilimo cha Umwagiliaji ni kuongeza uwezo wa kiuhandisi katika Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Waziri wa Kilimo Mhe. Prof Adolf Mkenda ameyasema hayo leo tarehe 2 Agosti 2021 mara baada ya kutembelea na kukagua Skimu za Umwagiliaji za Magozi na Mkombozi zilizopo katika

    READ MORE
  • SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO NA SAUDI SUDANI KUUZA UNGA NA MTAMA MWEUPE-WAZIRI MKENDA

    SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO NA SAUDI SUDANI KUUZA UNGA NA MTAMA MWEUPE-WAZIRI MKENDA0

    Na Mwandishi Wetu-Iringa Serikali imekamilisha mazungumzo na kampuni ya ubia ya Saudi Sudani kwa ajili ya kuuza unga pamoja na mtama mweupe. Hiyo ni fursa kubwa kwa wafanyabiashara nchini kwani wanatakiwa kuchangamkia fursa hiyo ambayo itakuwa sehemu ya muarobaini wa soko la nafaka kwa wakulima nchini. Waziri wa Kilimo Mhe Prof Adolf Mkenda ameyasema hayo

    READ MORE
  • USAJILI WA WAKULIMA WASHIKA KASI

    USAJILI WA WAKULIMA WASHIKA KASI0

    Na Mwandishi Wetu-Dodoma Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI, Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri za Serikali za Mitaa zinaendelea na usajili wa wakulima kwenye mfumo wa M-Kilimo ili waweze kutambuliwa, kutoa huduma kwa njia ya simu na pia Serikali kutoa huduma zingine kwa urahisi. Mpaka sasa hivi zaidi ya

    READ MORE
Translate »