Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Magharibi Kichama wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili, miiko pamoja na misingi ya chama hicho sambamba na kufanya kazi kwa mashirikiano ili kusimamia vyema utekelezaji wa Ilani ya CCM. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halimashauri kuu ya CCM taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais
READ MORENa Barnabas Kisengi, DODOMA KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kenan Kihongosi amemvaa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) John Pambalu kwa kumtaka kuwa na adabu na kuheshimu sheria za Nchi huku akiwataka watanzania kutoandamana Julai 5 mwaka huu. Hatua hii imekuja
READ MORENa Barnabas Kisengi, DODOMA Mjumbe wa Halmashauri kuu CCM Taifa (MNEC) na Mbunge wa Jimbo la Mvumi mkoani Dodoma Mhe Livingstone Lusinde amewaomba Wabunge kusimamia fedha walizopewa za kujenga barabara katika majimbo yao ambayo fedha hizo zimeelekezwa kwa wakala wa barabara za mijini na vijijini (TARURA) kwa lengo la kuwaletea wananchi maendeleo. Akizungumza na waandishi wa
READ MORENa Barnabas Kisengi, Dodoma KATIBU Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UVCCM), Kenan Kihongosi amewaagiza Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa na Wilaya kusimamia uanzishwaji wa Klubu za Jogging katika maeneo yao lengo likiwa ni kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa yasio ya kuambukiza. Akizungumza leo Julai 31, wakati wa uzinduzi wa Klabu ya
READ MORENa Barnabas Kisengi JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM)Taifa umelaani vikali kauli za Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima za kupinga chanjo ya Corona huku ikiomba uongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM,kumchukulia hatua kali na za kinidhamu. Kauli hiyo imetolewa hii leo Jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo,Kenan Kihongosi
READ MORENa Barnabas Kisengi -Dodoma CHAMA cha Mapinduzi kimeziagiza Serikali mbili ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Zanzibar kupitia ilani ya uchaguzi Ibara namba 18 na 20wakati maelekezo ya Rais yakifanyiwa kazi nazo zifanye upya mapitio ya sera na Sheria za kodi ili kuliweka vyema suala hilo la tozo katika utekelezaji wake. Kauli hiyo imetolewa
READ MORE