Na Barnabas Kisengi-Dodoma Zoezi la Uchukuaji wa fomu za kuwania Ubunge wa Afika Mashariki linaendelea tangu lianze Agost 1, 2022 katika ofisi tatu za chama cha Mapinduzi Ofisi ya Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi Mkoani Dodoma, Ofisi ndogo Lumumba Dar es Salaam na Afisi kuu Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) kimetoa wito kwa ngazi zote za Watendaji kuanzia Tawi, Kata, Wilaya na Mikoa yote Nchini kuwekeza nguvu kwenye uwekezaji na utendaji wa uchumi wa chama. Kauli hiyo imetolewa Jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo katika Kongamano la Mafunzo ya Uongozi na uwajibikaji katika mada
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Mwandishi wa Habari wa kituo cha Upendo Tv Mkoani Dodoma Bi Doreen Aloyce amejitokeza katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Dodoma kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Ujumbe wa NEC Taifa. Bi Doreen Aloyce amesema ameamua kuchukua fomu hiyo ya kuwania nafasi ya mjumbe wa NEC Taifa baada ya
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM Taifa imekutana Jijini dodoma katika kikao halali cha kikatiba kilichoongozwa na Mwenyekiti wa cha cha Mapinduzi CCM ambaye pia ni RAIS WA JAMUHURI YAMUUNGANO WA TANZANIA MH SAMIA SULUH HASAN. Akizungumza na waandishi wa habari Katika Ofisi za makao makuu ya chama hicho katibu wa
READ MORE