• ASILIMIA 16 YA WATU WENYE UMRI YA ZAIDI YA MIAKA60 WAMEPATA MANYANYASO YA KISAIKOLOJIA.

    ASILIMIA 16 YA WATU WENYE UMRI YA ZAIDI YA MIAKA60 WAMEPATA MANYANYASO YA KISAIKOLOJIA.0

    Na Barnabas Kisengi-Dodoma  Imeelezwa kuwa asilimia 16 ya watu wenye umri zaidi ya miaka 60 wamepata manyanyaso ya kisaikolojia, (11.6%), kiuchumi (6.8%), kutokujaliwa (4.2%),na kimwili (2.6%). Hayo yamebainishwa jijini Dodoma Juni 15,2021  na  kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na utawala bora Dkt Fatma Khalfani katika Maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili dhidi ya

    READ MORE
  • SERIKALI YA ZANZIBAR KUREKEBISHA SHERIA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII

    SERIKALI YA ZANZIBAR KUREKEBISHA SHERIA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII0

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema  Serikali ya Mapinduzi  Zanzibar itaendelea kufanya mapitio na marekebisho ya sheria ya mfuko wa Hifadhi ya jamii Zanzibar (ZSSF) kwa lengo la kuzingatia maslahi ya watunishi wake. Mhe. Hemed, alieleza hayo wakati akaifungu kikao  maalum cha kujadili utaratibu wa kukokotoa mafao ya watumishi

    READ MORE
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA JUNI 16, 2021

    SIKU YA MTOTO WA AFRIKA JUNI 16, 20210

    Hii leo, Juni 16 Tanzania inaungana na mataifa mengine kimataifa kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika. Siku hii ambayo chimbuko lake ni kumbukumbu ya watoto zaidi 2000 waliuawa wakati wakiandamana kupinga ubaguzi wa rangi katika mfumo wa elimu nchini Afrika Kusini mnamo mwaka 1976.  Maadhimisho hayo kwa hapa nchini Tanzania yanafanyika katika ngazi ya Halmashauri

    READ MORE
Translate »