Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkopo wa masharti nafuu wenye thamani ya Euro milioni 130, sawa na shilingi bilioni 361.71 kwa ajili ya kujenga mitambo ya kuzalisha umeme wa jua Megawatt 150 Wilaya ya Kishapu,Shinyanga. Mradi huu ni wa mwaka mmoja ambao unatarajiwa kuanza mwezi machi 2022 na
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma KATIKA kuhakikisha ulinzi na usalama kwa wazee wote hapa nchini unaimarika, serikali inaratibu utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa kutokomeza mauaji ya wazee 2018/ 2019 – 2022- 2023, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha ulinzi na usalama wa wazee wasiojiweza na ambao hawana watu wa kuwatunza huku serikali ikiendelea kusimamia matunzo katika makazi
READ MORENa Mwandishi Wetu-Dodoma WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema vyama vingi vya kijamii vinakufa nchini kwasababu ya tamaa pamoja na ukorofi wa baadhi ya viongozi ambao hawana sifa ya kuwa viongozi. Amesema uongozi ni karama na sio kila mtu anapaswa kuwa kiongozi, hivyo baadhi ya viongozi wanaouongoza jumuiya hizo za kijamii
READ MOREMkuu wa Dawati la jinsia mkoa Pwani Inspekta Hawa Juma amesema kumekuwa na ongezeko la kutelekezwa kwa mama na mtoto katika mkoa huo. Akizungumza na J five mjini kibaha mkoani Pwani Inspekta Hawa amesema wengi wa wanawake hao wanaotekeleza ni wamama wadogo ambao hupewa ujauzito chini ya miaka 18 ambao walibakwa na bodaboda, madereva wa
READ MOREKamati za Ulinzi na Usalama ngazi ya Wilaya na timu ya Menejeimenti za Halmashauri– CMT, zimetakiwa kuwa na utamaduni wa kujadili masuala ya Ukatili kwa watoto, mimba na ndoa za utotoni ili kuongeza kasi ya kupunguza au kumaliza kabisa matukio hayo ya kikatili yanayoendelea kuongezeka ndani ya jamii. Wito huo umetolewa na Afisa Ustawi wa
READ MORENa Mwandishi Wetu-Dodoma Kuelekea Siku ya Mtoto wa Afrika, Serikali inatarajia kuzindua Makao ya Taifa ya Malezi na Makuzi ya Watoto yaliyojengwa katika Kata ya Kikombo, jijini Dodoma.Akizungumza Jijini Dodoma leo na Waandishi wa Habari jijini Dodoma, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto, Dkt Dorothy Gwajima amesema Makamu wa Rais wa
READ MORE