• TANZIA: TB JOSHUA AFARIKI DUNIA

    TANZIA: TB JOSHUA AFARIKI DUNIA0

    Taarifa iliotolewa na kanisa lake la SCOAN siku ya Jumapili alfajiri imethibitisha kifo cha Muhubiri TB Joshua. Muhubiri huyo maarufu kutoka nchini Nigeria amefariki akiwa na umri wa miaka 57. Taarifa hiyo ilisema: Mungu amechukua maisha ya muhudumu wake TB Joshua kulingana na uwezo wake. Amefariki akimuhudumia Mungu. Taarifa hiyo imetaja sura moja katika biblia

    READ MORE
  • RAIS DKT. MWINYI ATUMA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA YA WALIOFARIKI KWENYE AJALI ZANZIBAR

    RAIS DKT. MWINYI ATUMA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA YA WALIOFARIKI KWENYE AJALI ZANZIBAR0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametuma salamu za rambirambi kwa ndugu, jamaa na marafiki wa watu wanne waliopoteza maisha katika ajali ya barabarani iliyotokea katika kijiji cha Buyubi Mkoani Shinyanga. Ajali hiyo ambayo imehusisha basi la Kampuni ya Classic lililokuwa likitokea Kampala nchini Uganda kwenda Jijini Dar

    READ MORE
  • TANZANIA NA UTURUKI ZANUIA KUWAWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI

    TANZANIA NA UTURUKI ZANUIA KUWAWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI0

    Serikali ya Uturuki imeahidi kushirikiana na Tanzania kutafuta suluhisho la changamoto mbalimbali zinazoikabili Jamii hapa nchini ikiwemo mapambano dhidi ya ukatili kwa Wanawake na watoto. Hayo yamebainishwa na Balozi wa Uturuki hapa nchini Dkt. Mehmet Gulluoglu alipokutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu

    READ MORE
  • RAIS DKT. MWINYI AMEWATAKA WAZANZIBARI KUACHA TABIA YA “MUHALI”

    RAIS DKT. MWINYI AMEWATAKA WAZANZIBARI KUACHA TABIA YA “MUHALI”0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameitaka jamii ya Wazanzibari kuacha tabia ya ”muhali” na kuripoti matukio ya vitendo vya udhalilishaji katika vyombo vya sheria huku akilitaka jeshi la Polisi kuacha kufanya usuluhishi wa matukio hayo. Akizungumza na wananchi pamoja na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa

    READ MORE
  • WAZAZI TOENI USHIRIKIANO KESI ZA UKATILI KWA WATOTO- DKT. JINGU

    WAZAZI TOENI USHIRIKIANO KESI ZA UKATILI KWA WATOTO- DKT. JINGU0

    Baadhi ya Wazazi na walezi Mkoani Rukwa wameelezwa kuchangia kuchelewesha upatikanaji wa haki kwa waathirika wa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto kwa kushindwa kutoa au kuwazui watoto kutoa ushaidi mahakamani. Akizungumza na wadau wa Jukwaa la Haki Jinai Mkoani hapa, Katibu Mkuu Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu amewataka

    READ MORE
  • SIMULIZI: MAMA WA MIAKA 41 ABAKWA NA WATU TISA MVOMERO

    SIMULIZI: MAMA WA MIAKA 41 ABAKWA NA WATU TISA MVOMERO0

    NA MWANDISHI WETU- MOROGORO KATIKA hali isiyo ya kawaida mama (41) ambaye jina lake limehifadhiwa amejikuta akiwa wakati mguu baada ya kufanyiwa kitendo cha ukatili wa kijinsia kwa kubakwa na vijana 9 wanaodaiwa kuwa ni jamii ya kimasai katika kijiji cha Mtakuja kata ya dakawa wilayani Mvomero Akisimulia madhira yaliyomkuta mama huyo alisema kuwa siku ya

    READ MORE
Translate »