• RUVUMA: WAZIRI BASHE AAMURU MBOLEA KUUZWA HADI SAA 12 JIONI

    RUVUMA: WAZIRI BASHE AAMURU MBOLEA KUUZWA HADI SAA 12 JIONI0

    Na Barnabas Kisengi Ruvuma. Waziri wa Kilimo, Husein Bashe amemuomba Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Julius Ningu kuwawezesha wasambazaji wa mbolea kufanya kazi mpaka saa 12 jioni ili waweze kuwahudumia wakulima wanaohitaji huduma hiyo kwa msimu huu wa kilimo. Tuwawezesha kupata askari watakaolinda eneo la biashara na baadaye kuwasindikiza bank ili waweze kuweka pesa

    READ MORE
  • Mkuu wa Mkoa Kigoma aipongeza TFRA kutatua changamoto uchache wa Mawakala Mbolea za Ruzuku

    Mkuu wa Mkoa Kigoma aipongeza TFRA kutatua changamoto uchache wa Mawakala Mbolea za Ruzuku0

    Na Barnabas Kisengi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kwa kuchukua hatua za haraka katika kutatua changamoto ya uchache wa mawakala wa mbolea za ruzuku katika mkoa huo. Ametoa pongezi hizo  Oktoba, 262022 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA, Dkt. Stephan Ngailo aliyewasili mkoani hapo kwa shughuli

    READ MORE
  • MAJALIWA: HAKIKISHENI MBOLEA INAWAFIKIA WAKULIMA

    MAJALIWA: HAKIKISHENI MBOLEA INAWAFIKIA WAKULIMA0

    Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa amewataka wakulima nchini kujipanga kulima kwa tija na kubainisha serikali imeweka mipango mahususi kuhakikisha wakulima wanapata pembejeo ya mbolea kwa wakati na kwa bei himilivu. Amewahakikishia wakulima wanaofanya shughuli zao za kilimo mbali na maeneo ya mijini kuwa, makampuni ya mbolea 

    READ MORE
Translate »