WAKULIMA MKOANI DODOMA WASHAURIWA KULIMA MAZAO YANAYOHIMILI UKAME
- Kilimo
- June 2, 2021
Na Barnabas Kisengi Ruvuma. Waziri wa Kilimo, Husein Bashe amemuomba Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Julius Ningu kuwawezesha wasambazaji wa mbolea kufanya kazi mpaka saa 12 jioni ili waweze kuwahudumia wakulima wanaohitaji huduma hiyo kwa msimu huu wa kilimo. Tuwawezesha kupata askari watakaolinda eneo la biashara na baadaye kuwasindikiza bank ili waweze kuweka pesa
READ MORENa Barnabas Kisengi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kwa kuchukua hatua za haraka katika kutatua changamoto ya uchache wa mawakala wa mbolea za ruzuku katika mkoa huo. Ametoa pongezi hizo Oktoba, 262022 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA, Dkt. Stephan Ngailo aliyewasili mkoani hapo kwa shughuli
READ MORENa Moreen Rojas Dodoma Jumla ya tani 8,959.023 za korosho ghafi zilibanguliwa ndani ya nchi kati ya tani 240,158.753 zilizozalishwa sawa na 3.7% na jumla ya leseni 55 za ununuzi wa korosho kwa ajili ya kusafishia nje ya nchi zilizotolewa ikiwa ni ongezeko la kampuni 5 ukilinganisha na leseni katika msimu wa 2020/2021. Fransis Afred
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Katika swala la kuimarisha usalama wa chakula nchini serikali imezindua mradi wa miaka mitatu na miezi sita wa uboreshaji huduma za afya ya mimea Tanzania utakaogharibu kiasi cha EURO milioni 10.1. Naibu waziri wa Kilimo Antony Mavunde amesema hayo katika uzinduzi wa uboreshaji wa afya za mimea kuwa serikali kupitia Wizara ya
READ MORE